njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Jana usiku wamepost picha zao wenyewe kwa raha zao kuhusu mazoezi yao wakijandaa na geita gold kuna raia wamehudhuria na kwenye hizo picha kuna mmoja kabisa anarekodi.
Kabla wale wa comment za OYAA ACHA MAMBO YA KISHAMBA NA KIZAMANI hawajaanza embu soma alichowahi kuandika aliyekuwa katibu na msemaji wa simba Ezekiel kamwaga anazungumzia jinsi jamaa wa libolo ya angola alivyokuwa anahudhuria mazoezini kuchota mbinu zao.
"Simba imekosea kwenda Misri? Nasikia hizi hoia lakini nashangaa tu. Simba au timu yoyote ya Tz kwenda nje kuweka kambi ni hatua. Miaka nane tu iliyopita, Simba ilikuwa lazima ipige hodi kwa Marehemu Hans Poppe, Geofrey Nyange "Kaburu" au Mzee Ramesh Patel watoe hela za mafuta. Na mazoezi tunafanya kwa Mzee Kinesi au Sigara. Watu kibao wanajaa mazoezini. Hakuna siri za kimbinu wala faragha. Nakumbuka siku moia tulikuwa tunajiandaa na mechi dhidi ya Libolo ya Angola kumbe skauti wao, Alberto, alikuwa anakuja mazoezini kwetu kututazama kila siku. Anatuchota tu na kujua mbinu zote. Leo Simba ikienda Misri au kokote kwingine ughaibuni inaonekanaje ni kubaya?"
Simba kwa sasa kama hamna sabotage basi kuna mvurugano wa kichinichini na huu ujinga wenu mtavuna mnachokipanda sooon kwani mkichukua mabaunsa watano wa k4s security wafukuze watu inashindikana? au zungusheni makuti basi kama ile hela ya ukuta mlikula.
USHAURI WANGU KWA WAPINZANI WA SIMBA WANAOFUATA TUMENI WATU PALE WAPENI ILE MIWANI INAYOREKODI , SPY GLASSES WAPATE QUALITY NZURI KABISA TENA ILE INACHUKUA HADI AUDIO VIZURI MNOOO MAELEKEZO YA KIKOCHA KIZEE CHA KIZUNGU MTAYASIKIA VYEMA KABISA, MSISAHAU NA KUTUPIATUPIA YALE MAMBO YETU YA JADI MAANA SIMBA NI WAZUNGU HAWAJALI KABISA
Kabla wale wa comment za OYAA ACHA MAMBO YA KISHAMBA NA KIZAMANI hawajaanza embu soma alichowahi kuandika aliyekuwa katibu na msemaji wa simba Ezekiel kamwaga anazungumzia jinsi jamaa wa libolo ya angola alivyokuwa anahudhuria mazoezini kuchota mbinu zao.
"Simba imekosea kwenda Misri? Nasikia hizi hoia lakini nashangaa tu. Simba au timu yoyote ya Tz kwenda nje kuweka kambi ni hatua. Miaka nane tu iliyopita, Simba ilikuwa lazima ipige hodi kwa Marehemu Hans Poppe, Geofrey Nyange "Kaburu" au Mzee Ramesh Patel watoe hela za mafuta. Na mazoezi tunafanya kwa Mzee Kinesi au Sigara. Watu kibao wanajaa mazoezini. Hakuna siri za kimbinu wala faragha. Nakumbuka siku moia tulikuwa tunajiandaa na mechi dhidi ya Libolo ya Angola kumbe skauti wao, Alberto, alikuwa anakuja mazoezini kwetu kututazama kila siku. Anatuchota tu na kujua mbinu zote. Leo Simba ikienda Misri au kokote kwingine ughaibuni inaonekanaje ni kubaya?"
Simba kwa sasa kama hamna sabotage basi kuna mvurugano wa kichinichini na huu ujinga wenu mtavuna mnachokipanda sooon kwani mkichukua mabaunsa watano wa k4s security wafukuze watu inashindikana? au zungusheni makuti basi kama ile hela ya ukuta mlikula.
USHAURI WANGU KWA WAPINZANI WA SIMBA WANAOFUATA TUMENI WATU PALE WAPENI ILE MIWANI INAYOREKODI , SPY GLASSES WAPATE QUALITY NZURI KABISA TENA ILE INACHUKUA HADI AUDIO VIZURI MNOOO MAELEKEZO YA KIKOCHA KIZEE CHA KIZUNGU MTAYASIKIA VYEMA KABISA, MSISAHAU NA KUTUPIATUPIA YALE MAMBO YETU YA JADI MAANA SIMBA NI WAZUNGU HAWAJALI KABISA