Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,903
- 95,450
Kwa hiyo mipaka ya ushirikina ni ipi?Yaani ushirikina ambao una uwezo wa kukwepa risasi za moto unashindwa kitu kirahisi kama vile wachezaji wa timu A wafunge magoli mengi na wachezaji wa timu B washindwe kufunga magoli?!Hii inamake sense?Kila kitu kina mipaka yake