Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 10,015
- 35,393
Kupiga Target inayo tembea na kukosa risas n ktu cha kawaida hata kwenye movie, ndo maana sniper akikosa risas moja huwa haendelei kukaa eneo alilochagua kukaa kwasababu anafaham atakosa risas zingine nyingi zaid na anakua kwenye hatari ya kushambuliwa yeye
Suala la fisi kuhusishwa na iman ya kishirikina hizo ni iman za watu tu kitu Cha msingi ilikua ni lazima auwawe hata ingetumika risasi 60 hicho ndo kitu Cha msingi kwakua ni fisi aliesumbua kwa muda mrefu ndo maana hawakupewa risasi 1 ili wakauwe fisi na wakapewa risasi nyingi zaid kwakua wao ndo wataalam wa mambo hayo na wanajua Kuna kukosa target hasa inayo kimbia zigzag
Suala la fisi kuhusishwa na iman ya kishirikina hizo ni iman za watu tu kitu Cha msingi ilikua ni lazima auwawe hata ingetumika risasi 60 hicho ndo kitu Cha msingi kwakua ni fisi aliesumbua kwa muda mrefu ndo maana hawakupewa risasi 1 ili wakauwe fisi na wakapewa risasi nyingi zaid kwakua wao ndo wataalam wa mambo hayo na wanajua Kuna kukosa target hasa inayo kimbia zigzag