Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,603
- 4,762
Hatuna Rais hapo
NAPITA TU mwenzenuMitaani anaonekana ni rais anaendesha nchi kama picha tu huku wanaomua nchi iende vipi wapo kando .
Ameonekana ni rais ambaye hana maamuzi ya msingi. Wanaoiba mali za umma kwa ufisadi mkubwa yuko nao.
Watumishi wa hali ya chini wakiiba hata mil 5 anag'aka.
Anaendesha nchi kwa kwa kudhibitiwa na genge la wahuni.
Ni rais ambaye yupo yupo tu.
Jikite kwenye mada husika. Acha upumbavuHivi Bavicha malezi yenu mlipatia wapi?
Anajifanya mpole hashughuliki na wabaya kwa vitendo vikali kumbe ndio mlea dhuluma, uonevu, unyonyaji, ufisadi, na mabaya yote dhidi ya raia wemaMitaani anaonekana ni rais anaendesha nchi kama picha tu huku wanaomua nchi iende vipi wapo kando .
Ameonekana ni rais ambaye hana maamuzi ya msingi. Wanaoiba mali za umma kwa ufisadi mkubwa yuko nao.
Watumishi wa hali ya chini wakiiba hata mil 5 anag'aka.
Anaendesha nchi kwa kwa kudhibitiwa na genge la wahuni.
Ni rais ambaye yupo yupo tu.
Tumepigwa kwa kweli tunaye mwananasesere hatuna rais palesijawahi kushuhudia shida ya mafuta, dollar na umeme kwa wakati mmoja hadi Samia alipoingia Ikulu.
Ajitathmini.
Alimchagua nani huyu msondo ulimshukia tu wanawake mpaka kwenye vitabu vitakatifu hawapaswi kuongoza hata mifugo sembuse wanaumeNi hasara kubwa kwa nchi kuwa na Rais wa namna hii. Yaani ni hasara ni hasara kubwa Sana.
Zwazwa kwenye ubora wakoBAVICHA munatumia nguvu kubwa sana kuonyesha udhaifu wa mama ila natija ya nguvu yenu haionekani aisee maana ajenda zenu ni za kufuata upepo, limekuja la katiba munalo, mukaliacha hewan mukahamia bandari, mukapotosha mukaona hakuna la maan sasa mumekuja na umeme na dollar tushawazoea tunasubr la kesho ila kuhusu kupata urais, mtasubiri nkiyama.
Labda kwako wewe ndio umeshuka sisi wezio umeongezeka.halafu watanzania gani unawazungumzia?Mitaani anaonekana ni rais anaendesha nchi kama picha tu huku wanaomua nchi iende vipi wapo kando .
Ameonekana ni rais ambaye hana maamuzi ya msingi. Wanaoiba mali za umma kwa ufisadi mkubwa yuko nao.
Watumishi wa hali ya chini wakiiba hata mil 5 anag'aka.
Anaendesha nchi kwa kwa kudhibitiwa na genge la wahuni.
Ni rais ambaye yupo yupo tu.
sijawahi kushuhudia shida ya mafuta, dollar na umeme kwa wakati mmoja hadi Samia alipoingia Ikulu.
Ajitathmini.
Hapa duniani, mwenye pesa ndiye mwenye nguvu na maamuzi..Kwa kadiri ninavyoijua CCM na wana CCM wanaye tu SSH na ni chaguo lao mpaka ifikapo 2030. Hata akijitokeza kada mzalendo na mwenye uchungu wa kutaka kuleta mabadiliko kama JPM,, bado kikwazo kitakuwa ni utamaduni wao mbaya wa kutotaka kumshindanisha, na pia kutoa fomu moja tu kwa ajili yake yeye tu.
Ni lazima uchaguzi wa 2025 utatawaliwa na wizi mkubwa wa kura katika nafasi ya urais ili kulazimisha ushindi wake uonekane kuwa ni wa kimbunga. Kwa jinsi ambavyo vyombo vya ulinzi na usalama vilivyo, na hulka ya Watanzania ilivyo, jipu limekaa pabaya sana, ila hakuna dawa yoyote iliyopo kwa sasa ya kulitibu, ni kulisubiria tu mpaka liive lenyewe, litumbuke na kisha lipone lenyewe.
mpumbavu katika ubora wako,unapigania maendeleo yapi wakati kila siku watu wanafunga biashara kwa kukosa umeme!!!bila shaka utakuwa kada wa chama cha majambazi unatetea ugali wakoHuo muda unaotumia kuandika uzi wa chuki dhidi ya Rais Samia ungetumia kupigania mambo yako binafsi ya kimaendeleo. Mama Samia ni rais wako hadi 2030 utake usitake. Tumwombee afya njema na uhai. Na ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya kitu kwenye katiba ili kukidhi mahitaji ya sasa Rais Samia kuongoza hadi 2040.
Wapumbavu ndio wasiomuamini