Naomba mnisaidie kusoma hiyo hadithi hapo juu
Uzalendo hufundishwa? Wapi? Mwalimu wa uzalendo ni nani? Mwanafunzi wa uzalendo ni nani? Haki na wajibu wa kiraia wa wananchi na uzalendo vinahusiana vipi?... Elimu ya uzalendo ni elimu ambayo imekosekana kwenye jamii yetu. Hili linatokana na watu kutofundishwa kuipenda nchi yao. ....