Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Msafara wa Viongozi uliokuwa ukielekea Kigoma kwaajili ya maandalizi ya uzinduzi wa Oparesheni mpya ya Chama umepata ajali saa nane usiku wa kuamkia leo Aprili 27, 2023.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.
Ajali hiyo imetokea wilaya ya Uyui Tabora, Kata ya Kigwa, Waliopata ajali Yohana Kaunya Kaimu Katibu Mkuu Bavicha, Nuru Ndosi Naibu Katibu Mkuu Bawacha - Bara, David Chiduo, Josephat magambo na Daniel Marwa - Dereva.
Hakuna aliyefariki, wote wanapatiwa matibabu katika Zahanati Kigwa B,
Wilaya ya uyui.