JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Ni wakati mgumu sana kwa wafanya biashara; purchasing power ya wananchi imeshuka mno.
Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara
Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.
Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k
Pesa inaenda moja moja serikalini bila kupitia kwa wafanya biashara
Tozo ni laana kali Sana. Wachumi fanyani kazi yenu la sivyo kila kitu itasimama. Hakuna tena kuzungusha hela ni kulipa Tozo tu.
Wenye vibanda vya mpesa wengi wamefunga. Wamachinga Hari ni ngumu. Mitaji inakufa. Kila mtu analia..N.k