Uwezi amini kale kagest ka Hayati Magufuli hapa chato kama mpaka kunguni, kamebakia na wateja wa shoo time, familia kabomoeni kana mtia dhambi.

Uwezi amini kale kagest ka Hayati Magufuli hapa chato kama mpaka kunguni, kamebakia na wateja wa shoo time, familia kabomoeni kana mtia dhambi.

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Nimefika hapa chato nikaona kagest chakavu kameandikwa Magufuli lodge, yaani nmeingia ndani naambiwa ni kakwake, ka enzi akiwa mwalimu. Nikauliza huduma ya kulala naambiwa Kako kwa Ajili ya shoo time ila kana kunguni wa kutosha
Nashauri familia kaboeni jaman kanachafua Jina lake na kwa huduma za shoo time zinamtia janaba mbinguni

Hongereni familia kwa kuendelea UJENZI hapo aliko zikwa kwa kweli Mama Magufuli augue salama
 
Nimefika hapa chato nikaona kagest chakavu kameandikwa Magufuli lodge, yaani nmeingia ndani naambiwa ni kakwake, ka enzi akiwa mwalimu. Nikauliza huduma ya kulala naambiwa Kako kwa Ajili ya shoo time ila kana kunguni wa kutosha
Nashauri familia kaboeni jaman kanachafua Jina lake na kwa huduma za shoo time zinamtia janaba mbinguni

Hongereni familia kwa kuendelea UJENZI hapo aliko zikwa kwa kweli Mama Magufuli augue salama
1766440212718.jpg
 
Nimefika hapa chato nikaona kagest chakavu kameandikwa Magufuli lodge, yaani nmeingia ndani naambiwa ni kakwake, ka enzi akiwa mwalimu. Nikauliza huduma ya kulala naambiwa Kako kwa Ajili ya shoo time ila kana kunguni wa kutosha
Nashauri familia kaboeni jaman kanachafua Jina lake na kwa huduma za shoo time zinamtia janaba mbinguni

Hongereni familia kwa kuendelea UJENZI hapo aliko zikwa kwa kweli Mama Magufuli augue salama



Yaaan wewe MBWA pamoja na matatizo yote yaliyo.mbele ya jamii ya waTanzania,bado unawashwa washwa na magu......punguza uchoko basi sometimes hata kama kuacha huwezi
 
Bei Gani Kwa Show Time game Mkuu?Nataka nikafungue kambi ya Uvuvi huko.
 
Ila mshua hakutakaga kutuibia aisee! Naona bado projects zake zipo vile vile. Kule Animal Zoo Chato naona imebidi Ikulu iingilie kupaendesha. Sio muda vile vitausi vyake pale kwake tutaanza kuviwinda na manati. 😊

Magufuli angekuwa na kasi ya kuiba pesa ya huyu mama na mwanae, tungeshajua aisee.
Magu anaweza kuwa aliiba, lakini sio kwa kasi ya huyu mama na JK.
 
Magufuli angekuwa na kasi ya kuiba pesa ya huyu mama na mwanae, tungeshajua aisee.
Magu anaweza kuwa aliiba, lakini sio kwa kasi ya huyu mama na JK.

Hii imewaambukiza hadi wakuu wa Taasisi za Serikali na Mashirika ya Umma wanaiba Ile Ile yaani hadi wanavimbiwa na kuvumbiwa kabisa...Kuna Mmoja kateuliwa kuwa Mkuu wa Taasisi ana miaka 3 tu lakini ameshajenga hekalu tayari na anajenga nyumba za kupangisha kama zote

Kweli Hawa wakuu wa Taasisi wanaangalia Namba Moja kakaaje kama ni mtata hawaibi, ila akiwa ni mtu wa kula kwa urefu wa Kamba Yako basi Hawa wakuu wa Taasisi wanakula hadi urefu wa hiyo Kamba aiseee
 
Back
Top Bottom