johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!