crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Mungu ni mwenye Ukuu sana na kazi yake haina makosa. Kila binadamu akiwemo Magufuli si wakamilifu.
Wangapi walidhihaki, yuko wapi Mungu wake aliyekuwa anamtaja kila siku!
Kwa machozi na umati huu, Mungu wake amemuinua mbele ya macho ya Dunia nzima. Wote tunashangaa, nani kawaambia watu hawa waje kwa wingi huu na walie vile!
Wangapi walidhihaki, yuko wapi Mungu wake aliyekuwa anamtaja kila siku!
Kwa machozi na umati huu, Mungu wake amemuinua mbele ya macho ya Dunia nzima. Wote tunashangaa, nani kawaambia watu hawa waje kwa wingi huu na walie vile!