Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,309
- 5,536
Cc waislamu kwenda kuzikwa haraka ni bora zaidi na heshima kubwa kuliko kukaaa nae,au unadhan yaweza kuwa kinyume?????
Wewe unasikia karaha!!
Wewe unasikia karaha!!
Nafsi inaona haiweziDuh! Hata yeye angeona hiki kinachotokea hapa angeogopa! Yaani hata kama kuna mtu alipanga kusherehekea msiba wa huyu mzee, inabidi utafute chochoro au chimbo fulani kufanya hivyo muda huu!
Kwani lazima Watu wote wa Dar wamwone? Mwisho tutataka Mikoa 26 Kumbukeni Mke wa Marehemu na Familia yake WanavyoumiaIli kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Waziri mkuu amefika uwanjani natumai ombi langu litafanyiwa kazi!Kwani lazima Watu wote wa Dar wamwone? Mwisho tutataka Mikoa 26 Kumbukeni Mke wa Marehemu na Familia yake Wanavyoumia
Word.Wengine wanaenda kutazama huo umati
Wengine ni event tu..hawana cha huzuni wala nini...
Busara azikwe mapema yaishe..
Hata tukiombeleza mwezi mzima nothing will change ..
Ombi la kipumbavu sana hili uliloomba..Ili kuwatendea haki Wakazi wa Dar es salaam tunaomba kamati ya mazishi ya hayati Magufuli muongeze walau siku moja ili zoezi hili liitimishwe kesho.
Uwanja umefurika na nje misururu ni mirefu sana.
Maendeleo hayana vyama!
Joy hujambo?Ombi la kipumbavu sana hili uliloomba..
He is dead..he is lifeless..harudi tenaaa..!!!
Watu wana furaha kuu.
😂😂mnajisikia
Ndio ivyo ameshakufa..sijui utadanga wapi tena..Joy hujambo?
Umeshafurushwa Dubai na mwamba!!
Declare interest tu mkuu kwamba unaumizwa na JPM anavyopendwa, trus me jamaa anapendwa mno mno! Hata zile kura za mwaka jana tulimpa na baadhi ya wagombea wengine tuliwapa sabab ya JPM.Nyiny hamuwajui wabongo nyiny wabongo roho kwatu apo kuna mijiz,mitapeli,wengine apo wamekuja kufanya tu zogo na wengine no event tu kuja kushangaa na wengine ni wasanii wanalia kinafik tu apo huu umati si kigezo kwamba he is in people heart
Hahahaaaa...... ...Joy uko Dubai au Machame?!Ndio ivyo ameshakufa..sijui utadanga wapi tena..
Jinga sana wee mama.
Hahahaaaa...... ...Joy uko Dubai au Machame?!Ndio ivyo ameshakufa..sijui utadanga wapi tena..
Jinga sana wee mama.
" ange....."Angekuwa Muumini wa Kiislamu je ingekuwaje kwani?.
Ambao hayupo mioyoni mwao, hawajaendaNyinyi hamuwajui wabongo, wabongo roho kwatu hapo kuna mijiz, mitapeli, wengine hapo wamekuja kufanya tu zogo na wengine no event tu kuja kushangaa na wengine ni wasanii wanalia kinafik tu apo huu umati si kigezo kwamba he is in people heart
Huyo atakuwa mchawi..Wengine hapo wanaenda kumdhihaki marehemu wanajisemea tambo zote zile sasa umelala baridi huwezi hata kuinua ukucha Mungu fundi sana aisee.