Uwanja pekee unaoweza kujengwa pale jangwani ni wa kufugia majini

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,703
5,477
Wananchiiiii ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

2F4DBFC3-EC83-4F24-8885-BC4A9262D189.jpeg
 
Utopolo wanaandaliwa kisaikolojia baada ya kukwanda kisawa sawa na Malelod viongozi wataibuka na hoja ya uwanja kuwapumbanza. Ila na sisi simba tunazingua hivi wachezaji kama jobe,fred na saido ni wakutuvusha nusu fainali ya Caf? Kunapesa zilingia za africa super lig kuna fedha za udhamin afu tunasajiliwa wachezaji wa 10%
GHMA0snXAAI7w3B.jpeg
 
Una utahira ndani yako.... Aidha utakuwa shoqer... Yaan Simba iliyonunuliwa na Mo kijinga unakuja kulinganisha na timu ya Yanga ...!!.

Mashabiki wa Simba mmekuwa mashoqer mnawaza Mambo ya yanga kuliko upuuzi wenu huko ukoloni
Jibu hoja hapo juu
 
Utopolo wanaandaliwa kisaikolojia baada ya kukwanda kisawa sawa na Malelod viongozi wataibuka na hoja ya uwanja kuwapumbanza. Ila na sisi simba tunazingua hivi wachezaji kama jobe,fred na saido ni wakutuvusha nusu fainali ya Caf? Kunapesa zilingia za africa super lig kuna fedha za udhamin afu tunasajiliwa wachezaji wa 10%
View attachment 2936864
Kati ya Jobe and Fredy better Jobe ananjaa ila Freddy ni kausha damu the only weakness nilioona nikua Saido anachelewesha kumpatia pass ndio maana Mara nyingi anakua off side yule acheze na Chama as no10 ndio utamuelewa.
 
Utopolo wanaandaliwa kisaikolojia baada ya kukwanda kisawa sawa na Malelod viongozi wataibuka na hoja ya uwanja kuwapumbanza. Ila na sisi simba tunazingua hivi wachezaji kama jobe,fred na saido ni wakutuvusha nusu fainali ya Caf? Kunapesa zilingia za africa super lig kuna fedha za udhamin afu tunasajiliwa wachezaji wa 10%
View attachment 2936864
Ila bongo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mbona hili ni jambo jepesi tu. Ujenzi hauwezi kuanza bila kibao. Kibao kikiwekwa itajulikana wahusika wa ujenzi wote. Suala la bajeti ni mpaka Yanga waliweke wazi.
 
Wananchiiiii ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

View attachment 2936860
Kama uwanja anajenga Yanga kwa hela yake au ya kukopa na wala hajakuomba hata senti tano, kwa nini uhangaike?
Utapata ugonjwa wa moyo bure kwa kuhangaika na mambo yasiyokuhusu
 
Kabisa mkuu, kibao huwa kina details zote muhimu za ujenzi. Nani anajenga, survey n.k Yaani ni jepesi mno hakuna haja ya kubishana.
Sasa mkuu kwa taasisi kubwa kama yanga si lazima tenda iwekwe hadharani, tena kwa umaarufu walionao si rahisi jambo kubwa kama hilo likapita kimya kimya. Kaa ukijua materials karibia yote yatoka nje, achili vibali etc.
 
Sasa mkuu kwa taasisi kubwa kama yanga si lazima tenda iwekwe hadharani, tena kwa umaarufu walionao si rahisi jambo kubwa kama hilo likapita kimya kimya. Kaa ukijua materials karibia yote yatoka nje, achili vibali etc.
Sasa kama hawajasema wala kutangaza tenda hadharani utamjuaje mjenzi boss? Si lazima usubiri usimikaji wa kibao. Hahaha
 
Wananchiiiii ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

View attachment 2936860
Wewe unadhihirisha umbumbumbu wako. Mnapenda ujuaji, kufatilia mambo ya watu. Hayo ni mawazo ya kimaskini yaani jitu zima utakuta limemaliza Masters, lina mke na watoto linaleta mada kama hii. Mtakalia tu hili haliwezekani, ila mwenzako anafanya. Yaani Kwa nini usiwe na mawazo chanya, kwamba inawezekana. Watu wamejenga viwanja baharini ije iwe pale Jangwani. Muwe na akiba za maneno.
 
Wananchiiiii ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili.

Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi?

Contractor tayari mmeshampata? Ameshafanya tathimi ya eneo ambalo uwanja utajengwa? Kwa geography ya eneo la jangwani ni pesa nyingi sana itatumika pale.

Mmeshajua bajeti nzima ya uwanja ni tshs ngapi? Hizo pesa mtakopa au mnazo?

Kama mtaingia ubia na taasisi yeyote ili iwajengee uwanja kisha yenyewe pesa yake iirejeshe kupitia get collection au matangazo ya ndani na nje ya uwanja je mmejua itachukua miaka mingapi mpaka kukamili?

View attachment 2936860
Wewe unadhihirisha umbumbumbu wako. Mnapenda ujuaji, kufatilia mambo ya watu. Hayo ni mawazo ya kimaskini yaani jitu zima utakuta limemaliza Masters, lina mke na watoto linaleta mada kama hii. Mtakalia tu hili haliwezekani, ila mwenzako anafanya. Yaani Kwa nini usiwe na mawazo chanya, kwamba inawezekana. Watu wamejenga viwanja baharini ije iwe pale Jangwani. Muwe na akiba za maneno.
 
Wewe unadhihirisha umbumbumbu wako. Mnapenda ujuaji, kufatilia mambo ya watu. Hayo ni mawazo ya kimaskini yaani jitu zima utakuta limemaliza Masters, lina mke na watoto linaleta mada kama hii. Mtakalia tu hili haliwezekani, ila mwenzako anafanya. Yaani Kwa nini usiwe na mawazo chanya, kwamba inawezekana. Watu wamejenga viwanja baharini ije iwe pale Jangwani. Muwe na akiba za maneno.
๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ unamasiriko makali sana pole
 
Back
Top Bottom