Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 818
Klabu ya Yanga inatarajia leo kupewa zawadi na Rais Samia ya nyongeza ya eneo pale Jangwani ili eneo lile sasa liweze kutumika kwenye upanuzi wa kujengwa kwa uwanja wa mpira wa miguu wa Yanga.
Ifahamike eneo linalo milikiwa na Yanga pale Jangwani ni finyu na tayari Klabu ilikuwa imeiomba Serikali nyongeza ya eneo ili pamoja na mambo mengine waweze kujenga uwanja wenye uwezo wa kuingiza mashabiki takribani elfu 20.
Ifahamike eneo linalo milikiwa na Yanga pale Jangwani ni finyu na tayari Klabu ilikuwa imeiomba Serikali nyongeza ya eneo ili pamoja na mambo mengine waweze kujenga uwanja wenye uwezo wa kuingiza mashabiki takribani elfu 20.