Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,950
Kama tunavyojua Mwenyekiti wa Chipukizi taifa bado ni mtoto anasoma tena itakua shule ya msingi.
Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu watakua na ujasiri wa kumkemea anapokosea au kumrekebisha kama mtoto au mwanafunzi?
Tuendelee kushangaa upuuzi wa CCM.
Sasa kwa upuuzi huu wa CCM kumpa cheo huyu mtoto hivi walimu wake darasani au hata mwalimu mkuu watakua na ujasiri wa kumkemea anapokosea au kumrekebisha kama mtoto au mwanafunzi?
Tuendelee kushangaa upuuzi wa CCM.