UVCCM waweka sawa kuhusu Cheo Kipya cha Naibu Waziri Mkuu

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
357
621
πŸ”° 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
πŸ—“οΈ π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
 
πŸ”° 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
πŸ—“οΈ π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
Watu wanapodai katiba mpya wawe wanaeleweka muda mwingine
 
πŸ”° 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
πŸ—“οΈ π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
Kwamba Hana mipaka sio!!

Kuna mdau ameanzisha thread ikiwa ataanua kuanzisha Cheo Cha Ufalme na Malkia inawezekana?
 
Wanampongeza? Ujinga ni mzigo kodi zetu zinachezewa mno... jana nimetoa laki tano makato ya tozo elfu 9 na hii tozo inaenda kuliwa na watawala and vijana wa ccm wanasifia and maendeleo zero...
 
Yeye ateue awezavyo ajifarague na kufurukuta atakavyo, ila jambo 1 tu alitambue na mwambie kabisa nyie uvccm hivi U-RAIS UMEMSHINDA!
 
𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
Kwani UVCCM, kuna wanaotumia akili zaidi ya unafiki na uchawa wa kijinga?
 
𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
Hawa panyaroad nao ni wa kupuuzwa tu
 
πŸ”° 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 π—žπ—œπ—¨π—§
πŸ—“οΈ π—”π—šπ—’π—¦π—§π—œ 31, 2023

FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?

Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT


Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi inayohusu uteuzi na kuhamishwa kwa mawaziri katika nafasi walizokuwa kwenda nafasi zingine tofauti.

Lakini ngoja tujikite kwenye hii nafasi ya NAIBU WAZIRI MKUU
ambayo watu wameshangaa kuona au kusikia NAIBU WAZIRI MKUU jambo ambalo wengi hawakulifahamu limekaaje kikatiba kwa maana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 haijataja cheo hicho.

Sasa, kama ulikuwa hujui na unataka kujua pitia kurasa hii. Kwa mujibu wa Ibara ya 36(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 hii inasema kwamba Rais ana mamlaka ya kuanzisha ofisi yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa maana hiyo, ofisi ya Naibu Waziri Mkuu imeanzishwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa sababu ana mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo alivyoanzisha tu ofisi hiyo hawezi akaiacha ikiwa wazi bila mtendaji wa ofisi hiyo, ndipo ikabidi afanye uteuzi wa NAIBU WAZIRI MKUU ambaye ni MHE. DOTTO MASHAKA BITEKO.

Maana mwenye nyumba amejenga nyumba safi na anahitaji iendelee kulindwa anahitaji nyumba yake ipate mkazi au mpangishwaji.

Ambapo uteuzi alioufanya ametumia mamlaka aliyonayo kikatiba kama ilivyoelezwa katika Ibara ya 36(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 ambayo inasema, kwa tafsiri isiyo rasmi, kwamba, Rais atakuwa na mamlaka ya kuteua watu/mtu kushika nafasi za uongozi zinazohusiana na utungaji wa sera katika idara na taasisi za serikali, na kiongozi mkuu ambaye atahusika katika usimamiaji wa utekelezaji wa majukumu katika idara hizo, na idara hizo zitajazwa na kufanyiwa kazi na wateule wa Rais.

Hivyo uteuzi huu uliofanywa na Mhe. Rais wa NAIBU WAZIRI MKUU umefanywa kikatiba na kwa kujali maslahi mapana juu ya utendaji kazi wa shughuli za serikali kwa wananchi wake.

Rais Samia alimteua aliyekuwa Waziri wa Madini, Dkt. Doto Mashaka Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, nafasi ya Uongozi ambayo mara ya mwisho ilitumikiwa mwaka 1994 na Hayati Augustino Mrema

Pia, Balozi Dkt. Salim Ahmed Salim ambaye amewahi kuwa Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alihudumu katika nafasi hiyo mwaka 1986 hadi 1989 chini ya Serikali ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Aidha, Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi tunaendelea kumpongeza mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya teuzi katika nafasi zote kwa ajili ya kuhakikisha shughuli za serikali zinafanyika kwa ufasaha na kuwajali wananchi wanyonge mpaka waliopo sehemu zisizofikika.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!

Makala hii imeandaliwa na REUBEN PAUL MBOJE
Mwanasheria-UVCCM
KIUT.
31/08/2023

#AlipoMamaVijanaTupo
#SisiNaMamaMleziWaWana
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
Nyie nao hamnaga impact yoyote kweny mamb ya msingi, nyie ni bendera fuata upepo na kusoma gap mamb yanavyokwenda!! Mngefanya uchambuz wa kisheria kuhusu mkataba wa DP world angalau mngeeleweka!!
 
kuongeza tu government expenditure, matumizi yanongezeka, kama eneo halina ufanisi suluhisho sio kuongeza watendaji, suluhisho ni kumnyofoa huyo asiye na ufanisi, kila siku mawizara mapya kwa kodi zetu na hakuna kilichobadilika kwenye maisha ya mtanzania, umeme shida, maji shida, mafuta shida, dola shida, safaru yetu iko hoi, useless and hopeless stuffs from ccm.
 
Huyu Naibu waziri mkuu anapata maslahi yake ie posho, mshahara, pension etc atapata kwa kutumia sheria gani maana icho cheo ata kikatiba hakipo. UVCCM huu ni utapeli tu mrema mpaka anakufa hajapata shahiki zake Kama naibu waziri mkuu
 
Mwanasheria mkuu wa UVCCM hivi Naibu Waziri mkuu atawajibika kwa Rais au Bunge?

Ikumbukwe Salim Ahmed Salim na Augustine Mrema walihudumu kama Naibu Waziri mkuu wakati Ule Waziri mkuu alikuwa hathibitishwi Bungeni kwa kura

Ikumbukwe pia Waziri mkuu Lowassa alijiuzulu Uwaziri mkuu kwa kulitangazia Bunge kwanza Kabla ya Rais

Niko pale Mtambani tea room nasubiria majawabu πŸ˜„
 
Back
Top Bottom