UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

Kwa kitendo alichofanya anatakiwa apate adhabu stahiki katika mazingira yamayofanana Kwa kiwango kile kile na ikiwezekana kizidiswe zaidi
 
Warioba agombee kama mgombea binafsi tumpe kula wote. Ndio dawa.
 
Wewe Peter Dafi si ulikuwa mmoja wao? Kilichowapeleka ni nini wakati mkijua Warioba ataipiga mawe hiyo katiba fake.Acha kutuzuga.
 
Sisi huku vijijini tumekasirika sana kusikia Mzee Warioba kapigwa na Makonda,tunalaani sana tukio hilo.kura yetu kwenye hii katiba ya Sita ni HAPANA.Yaani wamempiga huyo mzee?walibeba mabango ya nini kama sio fujo?
 
Tulaani kwa nguvu zetu wote, na kamwe tusikubali huu uhuni na ukora.....tusikubali watanzania huu uhuni wa Membe na Sita kutumia vijana kwa kupiga wazee wastaafu...

Labda hivo mkuu, lakini kwa Makonda inahitajika revenge ya namna ile ile au zaidi. Haiwezekani mtu ampige mzee wetu halafu eti sisi tuandamane kumpinga. Mimi hio sikubaliani nayo.

Huyo Makonda agongwe vizuri, halafu kuhusu hao meambe na 666 ndio tuandamane.
 
Huu ukoo wa panya a.k.a MaCCM watahangaika sana mwaka huu.
Ova
 
nini kiliwapeleka ukumbini nyinyi uvccm angalu warioba mlishampinga na mmepiga kura za waz za ndio kwa katiba pendekezwa, sasa unaendaje kusikiliza mawazo ya mtu uliyempinga kwa nini hamkukaa majumbani kwenu.?

Na isitoshe ile ilikuwa maalum kwa watu ambao hawajaielewa katiba, ikiwa wao walikuwa wameshaielewa walienda huko kufanya nini?
 
Kwani wewe ndiyo msemaji wa Uvccm, acha kudanganya watu, mimi nilikuwepo na hata watu wote waliona,Makonda alirusha chupa ikampiga mzee Warioba, then katika kutolewa mlangoni akampiga makofi mawili shingoni.....plz usidanganye watu tena

Andiko linasema "mwepukie mwenye mnvi, heshimu uso wa mtu mzee"
Watu wameamua kudharau wazee kiasi hiki tena hadharani na kwa ujasiri mkubwa, wakijua kuwa Mungu haoni na hawezi kuwafanya chochote!, OK .
 
Yaliyapanga siku nyingi na wakubwa wa ccm akianzia kikwete wanajua name ndio maana hakuna lililosemwa mpaka ss
 
Sasa mbona tunapoteza muda kumuongelea, kila thread yeye !! Tunampa umaarufu tu, basi mgongeni au mkateni miguu yaishe
Tuandamneee?????? Mxiii! Tuandamane kulaani kitendo cha huyu fa.la.?? Nani anamda huo wa kipuuzi? Mtu wa kugongwa tu hata na gari huyo uchukue traffic case ila umpe ulemavu kama sio kumdedisha ila sio kuandamana aisee.
Dah! mbona itakua ajabu. Ila unatania ee?
 
Makonda Hajampiga Mzee Warioba.

Makonda alikuwa anasaidia mzee asipigwe Na aliomba Msaada huo wakusaidia Pasiwe Na Mapigano mule Ndani.

Vijana wa Chadema wamewapiga sana Vijana wa CCM wamepasuka mpaka sasa Jana Usiku Saa 3 ndio nilitoka kuwatoa Hospitali kutibiwa majerehara.
Vurugu ilianzishwa Na Vijana wa CDM Kwa Kuanza Kumpiga Mama aliekuwa amekaa Mbele Kabisa alipigwa Na Kuangukia ktk Jukwaa Kuu.

Picha inayosambazwa inamuonyesha Makonda Na Warioba Na Watu kusema Kuwa Makonda Alikuwa akimpiga Mzee Sio Kweli Bali Alikuwa Akimsaidia Kutoka Nje ambapo Makonda Na Warioba walikuwa wamejificha Pale Jukwaa Kuu Baada ya Viti Kuamza Kurushwa Ukumbini Pale.

Ndugu Amon Mpanju Alikuwa akipigwa Na Wahuni wa CDM Mimi Na Makonda Tumemtetea Asiumizwe kwani Ni Mlemavu wa Macho kwani Haoni Wapi Akimbie Na Afanye nini Lakini Vijana Hawa Walinishangaza Sana Kwa Kuona Vijana Hawana Nidhamu wala Heshima Wala Huruma yakuwaonea Walemavu Huruma.

Mpanju Katangaziwa Vita pale Ukumbini kuwa watampiga yeye Na Makonda Na Vijana Wengine Na Kweli walipigwa kama Askari wasingefika Pale Kiukweli Sijui Pangekuwa Na Mauwaji gani au Majeruhi Kwa Kiasi Gani.
Picha zinaonyesha Warioba Na Makonda kama wanavutana Move ile Walipokuwa wait oka Nje Na Askari walikuwa wakimchukua Warioba Na Kumficha sehemu ambayo Askari walimlinda, Makonda, Mpanju Na Wale Watoa Mada wote waliwekwa chini ya Ukinzi.

Baada ya Mdaharo Kuhairishwa Jaji warioba aliondoka Kwa kusindikizwa Na Askari akiwa Na Wenzie.

Makonda Aliondoka akiwa Na Askari pia .

Mimi Nilibakia na Amon Mpanju Aliekuwa Mjumbe wa Bunge LA Katiba toka Kundi LA Walemavu Amon Alikuwa akitishiwa Na Alipigwa pia.
Nilibakia Pale nae Na Kuhakikisha Kaondoka Salama Nilimpandisha Gari Na Kumsindikiza Nyumbani Kwake Akiwa Salama.

Nilifatilia Makonda kapelekwa wapi Nimesikitishwa sana Na Kitendo cha Kuona Makonda Kapewa Sifa mbaya yakumpiga Mzee Warioba Na Kusema Makonda Kaleta Vurugu Ukumbini, Na Vijana Walioleta Vurugu Na Kupiga Watu Wote Hawajakamatwa Na Wala Sijawakuta Kituoni.

Kuna Vijana Walikamatwa tulifanikiwa Kuwatoa Kituoni Na Kuondoka Nyumbani Na Walioumizwa walipata Matibabu Na Kuondoka Nyumbani pia.

Kinachofanyika si Chema Kabisa Kwa Taifa letu kwani tunapanda Mbegu ya Ajabu sana Na Itatusumbua sana kama Taifa.

Yuliona Libya walianza Hivi hivi Kimasihara Kwa kuwarubuni Vijana Kufanya Mambo yakishenzi Na Kihuni Na Kupiga watu wakafanikiwa Kuitoa Serikali iliyokuwa Madarakani Kwa Mapinduzi, Kitendo kile Mpaka Leo Kinaitafuna Libya vibaya Mno.
Nchi haijatulia Na Sidhani kama Itatulia kwani Hawajui Serikali ilifikia Pale Kwa Hekima Na Busara Zipi, Walioko Libya Leo wanajuta.
Nawasowasi Na Hizi Movement zinazoanzishwa Na Viongozi wetu Nchini Tanzania.

By Peter Dafi


Unaweza Kuona Picha hizi Ukitizama Kwa Maini utaona Makonda akimsaidia Amon Mpanju Mlemavu wa Macho.
Unaweza Kuniona Hapo Pia Nimevaa Koti la Dark blue nikisaidia Amon asiumizwe pia
Nawapa Angalizo tu.View attachment 198770


Moving Camera zilizokuwa zinaenda Live hazikuzimwa Ziliendelea Kurecord Matukio Yote Mule Ndani.
Sasa Mjiulize Kwanini ITV hawajaonyesha Makonda Na Vijana wa Chama Wakimpiga Warioba Na Kuleta Vurugu Mule?
Kwanini Watumie Picha tu za Still Na Video wasionyeshe.?View attachment 198772

Hivi wewe mleta mada, wewe ni kichaa, punguani au zembwera tu? nafikiri una utahira kabisa, h waongopee waliosikia kwenye redio au walio ona kwa mbali kwenye TV siyo sisi tulio ona live ukumbini makonda akimpiga mzee warioba. tena ukome kabisa kuandika habari hizi za unafiki kabisa. tumeshuhudia live then unasema hakumpiga? shetani mkubwa kweli wewe na laana hii ya kumpiga mzazi wako itakuwa juu yako na vizazi vyenu wewe na makonda! huoni aibu kudanganya kiasi. mimi mpaka camera yangu ndogo inaonyesha anavyo mkwida mzee arafu unadai hakumpiga? CCM ina haribiwa na watu kama nyie matahira wa akili mnao kifanya chama kionekane kibaya kumbe ni utahira wenu.
 
mpaka sasa wanachama wa ccm wanasema kwamba Mwangosi aliuwawa na chadema japokuwa picha zinaonyesha jinsi alivyouwawa itakuwa hii ya warioba
 
WARIOBA;” MAKONDA HAJANIPIGA BALI AMESAIDIA KUTUOKOA”

Wadau ni masikitiko makubwa sana juu ya upotohaji unaosambazwa kuwa Makonda amempiga mzee warioba taarifa rasmi toka kwa mzee kingunge, ni kuwa si kweli kuwa mzee warioba amepigwa na makonda

Akizungumza kwa simu na mzee warioba huku akiwajirani na mdau wako wa forum hii,sauti yam zee warioba inasikika ikisema;
“..comred si kweli kuwa makonda amenipiga hapana in deed,,kijana Yule ametusaidia kuhakikisha tunatoka salama pale ndani maana niliona ata vijana wameanza kumshambuliwa Yule mbunge wakatiba ambae ni mlemavu wa macho,halikuwa jambo jema kabisa…
Ssa nitazungumza jambo hili lakini mimi nipo salama na tunampongeza makonda kwa moyo wake wakumuokoa kijana mlemavu na kwa hilo wasimsingizie labda wamsingizie hili la kuwa anawajua vijana wale…”
 
Hii ya kupiga kelele kuhusu Warioba ni uvivu wa kufikiri Warioba hajapigwa na Makonda mnazusha kulikuwa na tafrani kwenye ukumbi Makonda kwa heshima akaamu amsaidie kumnusuru asidhuriwe ila ukawa mmempiga mpanju wakati haoni ni dhambi kubwa na sawa na dereva mnywa viroba akamgonga mtu asiyeona

Taasisi zizizo za kiserikali zinashadadia kuhusu warioba.

Mjue Warioba hauuziki hata mfanye nini wananchi wengi wanasema sasa hao kigoda cha mwalimu wanakitumia vibaya shauri yenu
 
Sasa wewe nawe mbona unatupigia kelele za kumtetea Makonda? Show the difference basi, hata hivyo, kelele za UKAWA wewe zinakuhusu nini? Waache waendelee na kelele zao na wewe endelea na mambo yako. Tangu lini ukawamtetezi na mshauri wa UKAWA? Mnajaza thread tu ambazo hazina vichwa wala miguu halafu wale jamaa zako wanakuja kukusapoti. Poor you
 
Hii ya kupiga kelele kuhusu Warioba ni uvivu wa kufikiri Warioba hajapigwa na Makonda mnazusha kulikuwa na tafrani kwenye ukumbi Makonda kwa heshima akaamu amsaidie kumnusuru asidhuriwe ila ukawa mmempiga mpanju wakati haoni ni dhambi kubwa na sawa na dereva mnywa viroba akamgonga mtu asiyeona

Taasisi zizizo za kiserikali zinashadadia kuhusu warioba.

Mjue Warioba hauuziki hata mfanye nini wananchi wengi wanasema sasa hao kigoda cha mwalimu wanakitumia vibaya shauri yenu
Acha ujinga wewe Makonda ndiyo katumwa na Membe na Sita kumpiga Warioba na issue ilikuwa kummaliza kabisa, kumbuka katika wale maadui 11 aliyowataja Membe moja wao ni Warioba
 
Back
Top Bottom