OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Kati ya wale maadu 11 aliyowataja Membe itv moja wao ni Warioba, so juzi Makonda alitumwa kwa dhumuni la kummaliza kabisa, mleta mada bila shaka atakuwa NapeSasa wewe nawe mbona unatupigia kelele za kumtetea Makonda? Show the difference basi, hata hivyo, kelele za UKAWA wewe zinakuhusu nini? Waache waendelee na kelele zao na wewe endelea na mambo yako. Tangu lini ukawamtetezi na mshauri wa UKAWA? Mnajaza thread tu ambazo hazina vichwa wala miguu halafu wale jamaa zako wanakuja kukusapoti. Poor you