UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

Makonda Kaandaa Kundi La Wanafunzi Kumfanyia Fujo Jaji Warioba, Hata Kama Hajahusika Moja Kwa Moja Kumpiga Mzee Warioba Basi Kwa Kuwa Vijana Waliandaliwa Na Yeye Makonda Hvy Hata Wale Waliompiga Mzee Warioba Walimpiga Kwa Niaba Yake Makonda Hvy Wametekeleza Kile Walichokuwa Wamekipanga.
 
Ninayoifahamu ITV isingeaacha kuonyesha picha ambazo zinaonyesha waziwazi Makonda akimpiga Warioba. Binafsi nimejaribu kuangalia hiyo picha inayosambazwa kuwa Makonda anampiga Warioba sijaona dalili za kupiga zaidi ya kuona ni kama Makonda alikuwa akimtoa Mzee Warioba nje. Video ya TBC inaonyesha wazi Makonda akimsindikiza mlemavu wa macho na kumsaidia asiumizwe na viti. Sasa kama kuna mtu ana ushahidi unoonyesha Makonda akimpiga Warioba basi tuwekewe hapa ili wote tuuone.
 
mmetumwa kumsafisha kwa delt hasafishiki ni kitu alichokuwa amekipanga ndicho kimetokea . tutakutana tu wewe makonda
 
Huyu mwenyewe aliyeamua kumtetea Makonda inaonekana akili na elimu yake ndogo kabisa. Ameandika kama bibi anayemsimlia hadithi mjukuu wake.

Makonda ni kichwa cha kumbikumbi ambaye hukimbilia kwenye maji halafu baadaye hushindwa kuruka baada ya mabaya yake kulowana na maji.

Kwa sababu ndani ya CCM ni nadra sana kuwaona wenye hekima, hivyo hawa wanastahili kufundishwa kwa namna inayoeleweka kwao. Huyo makonda watu walimkosea, alistahili kuondoka na kumbukumbu ya maisha.
 
kwani kule walialikwa UKAWA tu?

walalikwa wote sasa mabango mlienda nayo ya nini ? Kama mlienda kusikiliza hoja kwanini mlianza kutoa mabango ! Nyinyi ni wapuuzi , nyinyi ni watumwa na nyinyi ni wachumia tumbo ! Eti mnataka kuibadili nyeupe kuwa nyeusi.... Mtoa post unastahili kuitwa ni mnafiki hukijui ulichokinena bali unaongozwa na siasa ushabiki.. Aibu yako..
 
CCM mtakoma, Warioba mlimtukana sana bungeni, mkaamua kumfuata ukumbini halafu unaleta kichekesho hapa kuwa Makonda hahusiki ?

Danganya Nursery school students.
 
Hebu fikiria katika vurugu zile Mwakonda amnusuru yule mlemavu amwache pa salama; akimbie kwenda kumwokoa Warioba! Ni mjinga tu anaweza kuamino hili. Makonda alupenya penya vipi vile viti na alimfikia je Warioba kama si kwa kuwa alikuwa anaamrisha warusha viti? Ole wake laana ya wakubwa i juu yake! Atadondoka kama embe kwenye mti mrefu
 
Acheni kumwagia watu tindikali wapuuzi nyie

Mda cyo mrefu ccm mtauona moto
Huo ubabe wenu ndio uliotushawishi mimi na wezangu tujiunge na al-shabab,
Mlichokifanya jana kwa warioba lazima tuwafanyie mara 100.
Nipo mombasa nikirudi mtasema poo.

Wape salamu wenzoko
By
King dom
Kiboko ya mafisadi.
 
Siku moja baada ya Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda kudaiwa kuongoza genge la wahuni kuvuruga mdahalo wa katiba mpya ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, chama chake na Jeshi la Polisi wamekwepa kuzungumzia tukio hilo, huku Rais Jakaya Kikwete akipiga kijembe kiana.


Inadaiwa Makonda na vijana wenzake takribani 15, walizusha vurugu hizo juzi wakati mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, akihitimisha hotuba yake na hivyo mdahalo huo kusitishwa, ingawa hadi sasa jeshi la polisi halijachukua hatua yoyote kwa watuhumiwa.

Jana, Makonda aliitisha mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumzia tukio hilo na kukana kumpiga Jaji Warioba huku akijitetea kwamba alikuwa akijaribu kumkinga asidhuriwe na wafanya fujo hao.

Wakati Makonda akijaribu kutoa utetezi usiokuwa na mashiko, Chama Cha Mapinuzi (CCM) Taifa, kimeshikwa na kigugumizi kulizungumzia tukio hilo, ambapo Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alidai yupo nje ya nchi na hivyo hana taarifa za kuwepo kwa vurugu hizo.

Makonda alivyojitetea

Akizungumza na waandishi wa habari, Makonda alijichanganya juu ya utetezi wake akisema kuwa alikuwa ni miongoni mwa watu waliompa ulinzi Jaji Warioba ili asidhuriwe na vijana waliotambuliwa kuwa wanatoka katika jumuiya ya chama hicho.

Makonda alijichanganya wakati akijibu swali la kwanini atajwe katika vurugu hizo, ambapo alisema kuwa wakati vurugu zilipoanza alimkimbilia Amon Mpanju ambaye ni mlemavu wa macho na kwenda kumhifadhi kabla ya kumfuata mwandishi wa habari wa BBC, Arnold Kayanda aliyekuwa amejeruhiwa kwa kiti kichwani.

Alisema alitoa msaada huo baada ya kuombwa na Jaji Warioba na Joseph Butiku, ahakikishe vurugu hazitokei na Mpanju hadhuriwi katika mazingira aliyokuwa.

“Niliongea na Jaji Warioba kisha Butiku wakanieleza nihakikishe vurugu hazitokei na hali ilipokuwa ngumu nikamueleza Mzee Warioba aondoke kwa kuwa hali imekuwa mbaya na nikamshika mkono kumuondoa na huu ulikuwa msaada wangu kwa watu watatu tofauti katika muda ule wa vurugu,”alisema Makonda ingawa maelezo yake yanatofautiana na picha zilizopigwa akidai zimefanyiwa ufundi.

Chanzo: Tanzania Daima.
 
Siku moja baada ya Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda kudaiwa kuongoza genge la wahuni kuvuruga mdahalo wa katiba mpya ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, chama chake na Jeshi la Polisi wamekwepa kuzungumzia tukio hilo, huku Rais Jakaya Kikwete akipiga kijembe kiana.


Inadaiwa Makonda na vijana wenzake takribani 15, walizusha vurugu hizo juzi wakati mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, akihitimisha hotuba yake na hivyo mdahalo huo kusitishwa, ingawa hadi sasa jeshi la polisi halijachukua hatua yoyote kwa watuhumiwa.

Jana, Makonda aliitisha mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumzia tukio hilo na kukana kumpiga Jaji Warioba huku akijitetea kwamba alikuwa akijaribu kumkinga asidhuriwe na wafanya fujo hao.

Wakati Makonda akijaribu kutoa utetezi usiokuwa na mashiko, Chama Cha Mapinuzi (CCM) Taifa, kimeshikwa na kigugumizi kulizungumzia tukio hilo, ambapo Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye alidai yupo nje ya nchi na hivyo hana taarifa za kuwepo kwa vurugu hizo.

Makonda alivyojitetea

Akizungumza na waandishi wa habari, Makonda alijichanganya juu ya utetezi wake akisema kuwa alikuwa ni miongoni mwa watu waliompa ulinzi Jaji Warioba ili asidhuriwe na vijana waliotambuliwa kuwa wanatoka katika jumuiya ya chama hicho.

Makonda alijichanganya wakati akijibu swali la kwanini atajwe katika vurugu hizo, ambapo alisema kuwa wakati vurugu zilipoanza alimkimbilia Amon Mpanju ambaye ni mlemavu wa macho na kwenda kumhifadhi kabla ya kumfuata mwandishi wa habari wa BBC, Arnold Kayanda aliyekuwa amejeruhiwa kwa kiti kichwani.

Alisema alitoa msaada huo baada ya kuombwa na Jaji Warioba na Joseph Butiku, ahakikishe vurugu hazitokei na Mpanju hadhuriwi katika mazingira aliyokuwa.

“Niliongea na Jaji Warioba kisha Butiku wakanieleza nihakikishe vurugu hazitokei na hali ilipokuwa ngumu nikamueleza Mzee Warioba aondoke kwa kuwa hali imekuwa mbaya na nikamshika mkono kumuondoa na huu ulikuwa msaada wangu kwa watu watatu tofauti katika muda ule wa vurugu,”alisema Makonda ingawa maelezo yake yanatofautiana na picha zilizopigwa akidai zimefanyiwa ufundi.

Chanzo: Tanzania Daima.
mambo ya Ngoswe mwachieni mwenyewe, mnampa promo kubwa huyu dogo. Tuandamane basi tulaani hicho kitendo
 
mambo ya Ngoswe mwachieni mwenyewe, mnampa promo kubwa huyu dogo. Tuandamane basi tulaani hicho kitendo


Yani huyu dogo dawa yake ni kifinyo tu! Ingelipa sana! Kudadekiiii!
 
Tuandamneee?????? Mxiii! Tuandamane kulaani kitendo cha huyu fa.la.?? Nani anamda huo wa kipuuzi? Mtu wa kugongwa tu hata na gari huyo uchukue traffic case ila umpe ulemavu kama sio kumdedisha ila sio kuandamana aisee.
Dah! mbona itakua ajabu. Ila unatania ee?
 
Membe na Sita washitakiwe kwa kufadhili uhuni na ukora wa Makonda kumpiga Warioba
 
Tuandamneee?????? Mxiii! Tuandamane kulaani kitendo cha huyu fa.la.?? Nani anamda huo wa kipuuzi? Mtu wa kugongwa tu hata na gari huyo uchukue traffic case ila umpe ulemavu kama sio kumdedisha ila sio kuandamana aisee.
Dah! mbona itakua ajabu. Ila unatania ee?

Tulaani kwa nguvu zetu wote, na kamwe tusikubali huu uhuni na ukora.....tusikubali watanzania huu uhuni wa Membe na Sita kutumia vijana kwa kupiga wazee wastaafu...
 
Mob justice ni matokeo ya jeshi la polisi kufumbia na kumlinda mhalifu.
Very soon tz inamwaga damu kwa uzembe na upendeleo wa polisi.
 
Back
Top Bottom