Malate amvaa Warioba: "Anachochea mzozo!

Malate amvaa Warioba: "Anachochea mzozo!

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
319
Reaction score
314
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa hivi karibuni alipohojiwa na chombo kimoja cha habari za mtandaoni.

Mzee Malate ameelezea kushangazwa na tabia ya Mzee Warioba akisema Mzee huyu amekuwa na tabia zisizo za kiuongozi na zenye nia mbaya kwa Serikali na nchi ambayo yeye mwenyewe aliwahi kuitumikia.

Mzee Malate ameungana na kauli iliyowahi kutolewa na Marehemu Kepteni John Komba kuwa Mzee Warioba ni tatizo pale alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kupinga mjadala uliokuwa unaendelea Bungeni kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ambao hatimaye ulisababisha Katiba Mpya kutopatikana.

“Huyu Mzee anadhani mawazo yake ni lazima yawe, anataka Serikali ifanye anavyotaka yeye, anapenda sana umaarufu wa kwenye vyombo vya habari, na anadharau sana viongozi wa Serikali waliopo, hiki kitu sio sawa” amesisitiza Mzee Malate.

Aidha, Mzee Malate ameshauri Chama Cha Mapinduzi na Serikali imchukulie hatua Mzee Warioba kutokana na kutumia wadhifa wake uliopita vibaya kwa kuwa unaweza kuiingiza nchi katika matatizo makubwa yatakayoleta athari kwa watu wengi.

“Sasa Mzee Warioba aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama Sheria zina shida kwa nini hakurekebisha wakati huo? Kama ni suala la Katiba Mpya kwa nini alishiriki kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya mwaka 2014? Nakubaliana na Marehemu Kepteni Komba huyu Mzee Warioba ni shida kubwa sana, anapaswa kuthibitiwa” ameongeza Mzee Malate

Aidha, Mzee Malate ameomba Serikali katika hali iliyopo sasa isicheke na mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi kwani tunakokwenda kuna watu wanaona wamepata mwanya wa kuivuruga Tanzania na inatisha namna wanavyotumia fedha nyingi kufadhili vijana na magenge ya watu wanaochochea vurugu Tanzania.
20260513_081316.jpg
 
Huyo mzee malate naye ni mmoja wa wazee wapumbavu. Mwambie uchawa wa uzeeni ni zaidi ya kujidhalilisha na hajui alisemalo.
Hovyo kabisa.
 
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa hivi karibuni alipohojiwa na chombo kimoja cha habari za mtandaoni.

Mzee Malate ameelezea kushangazwa na tabia ya Mzee Warioba akisema Mzee huyu amekuwa na tabia zisizo za kiuongozi na zenye nia mbaya kwa Serikali na nchi ambayo yeye mwenyewe aliwahi kuitumikia.

Mzee Malate ameungana na kauli iliyowahi kutolewa na Marehemu Kepteni John Komba kuwa Mzee Warioba ni tatizo pale alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kupinga mjadala uliokuwa unaendelea Bungeni kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ambao hatimaye ulisababisha Katiba Mpya kutopatikana.

“Huyu Mzee anadhani mawazo yake ni lazima yawe, anataka Serikali ifanye anavyotaka yeye, anapenda sana umaarufu wa kwenye vyombo vya habari, na anadharau sana viongozi wa Serikali waliopo, hiki kitu sio sawa” amesisitiza Mzee Malate.

Aidha, Mzee Malate ameshauri Chama Cha Mapinduzi na Serikali imchukulie hatua Mzee Warioba kutokana na kutumia wadhifa wake uliopita vibaya kwa kuwa unaweza kuiingiza nchi katika matatizo makubwa yatakayoleta athari kwa watu wengi.

“Sasa Mzee Warioba aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama Sheria zina shida kwa nini hakurekebisha wakati huo? Kama ni suala la Katiba Mpya kwa nini alishiriki kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya mwaka 2014? Nakubaliana na Marehemu Kepteni Komba huyu Mzee Warioba ni shida kubwa sana, anapaswa kuthibitiwa” ameongeza Mzee Malate

Aidha, Mzee Malate ameomba Serikali katika hali iliyopo sasa isicheke na mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi kwani tunakokwenda kuna watu wanaona wamepata mwanya wa kuivuruga Tanzania na inatisha namna wanavyotumia fedha nyingi kufadhili vijana na magenge ya watu wanaochochea vurugu Tanzania.View attachment 3588098
Malate ni mjinga
 
Alikuwepo msiba, before akumbuke hilo
 
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa hivi karibuni alipohojiwa na chombo kimoja cha habari za mtandaoni.

Mzee Malate ameelezea kushangazwa na tabia ya Mzee Warioba akisema Mzee huyu amekuwa na tabia zisizo za kiuongozi na zenye nia mbaya kwa Serikali na nchi ambayo yeye mwenyewe aliwahi kuitumikia.

Mzee Malate ameungana na kauli iliyowahi kutolewa na Marehemu Kepteni John Komba kuwa Mzee Warioba ni tatizo pale alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kupinga mjadala uliokuwa unaendelea Bungeni kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ambao hatimaye ulisababisha Katiba Mpya kutopatikana.

“Huyu Mzee anadhani mawazo yake ni lazima yawe, anataka Serikali ifanye anavyotaka yeye, anapenda sana umaarufu wa kwenye vyombo vya habari, na anadharau sana viongozi wa Serikali waliopo, hiki kitu sio sawa” amesisitiza Mzee Malate.

Aidha, Mzee Malate ameshauri Chama Cha Mapinduzi na Serikali imchukulie hatua Mzee Warioba kutokana na kutumia wadhifa wake uliopita vibaya kwa kuwa unaweza kuiingiza nchi katika matatizo makubwa yatakayoleta athari kwa watu wengi.

“Sasa Mzee Warioba aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama Sheria zina shida kwa nini hakurekebisha wakati huo? Kama ni suala la Katiba Mpya kwa nini alishiriki kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya mwaka 2014? Nakubaliana na Marehemu Kepteni Komba huyu Mzee Warioba ni shida kubwa sana, anapaswa kuthibitiwa” ameongeza Mzee Malate

Aidha, Mzee Malate ameomba Serikali katika hali iliyopo sasa isicheke na mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi kwani tunakokwenda kuna watu wanaona wamepata mwanya wa kuivuruga Tanzania na inatisha namna wanavyotumia fedha nyingi kufadhili vijana na magenge ya watu wanaochochea vurugu Tanzania.View attachment 3588098
Muambie mazafaka Watanzania wameshachoshwa na upumbavu wa CCM!
 
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa hivi karibuni alipohojiwa na chombo kimoja cha habari za mtandaoni.

Mzee Malate ameelezea kushangazwa na tabia ya Mzee Warioba akisema Mzee huyu amekuwa na tabia zisizo za kiuongozi na zenye nia mbaya kwa Serikali na nchi ambayo yeye mwenyewe aliwahi kuitumikia.

Mzee Malate ameungana na kauli iliyowahi kutolewa na Marehemu Kepteni John Komba kuwa Mzee Warioba ni tatizo pale alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kupinga mjadala uliokuwa unaendelea Bungeni kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ambao hatimaye ulisababisha Katiba Mpya kutopatikana.

“Huyu Mzee anadhani mawazo yake ni lazima yawe, anataka Serikali ifanye anavyotaka yeye, anapenda sana umaarufu wa kwenye vyombo vya habari, na anadharau sana viongozi wa Serikali waliopo, hiki kitu sio sawa” amesisitiza Mzee Malate.

Aidha, Mzee Malate ameshauri Chama Cha Mapinduzi na Serikali imchukulie hatua Mzee Warioba kutokana na kutumia wadhifa wake uliopita vibaya kwa kuwa unaweza kuiingiza nchi katika matatizo makubwa yatakayoleta athari kwa watu wengi.

“Sasa Mzee Warioba aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama Sheria zina shida kwa nini hakurekebisha wakati huo? Kama ni suala la Katiba Mpya kwa nini alishiriki kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya mwaka 2014? Nakubaliana na Marehemu Kepteni Komba huyu Mzee Warioba ni shida kubwa sana, anapaswa kuthibitiwa” ameongeza Mzee Malate

Aidha, Mzee Malate ameomba Serikali katika hali iliyopo sasa isicheke na mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi kwani tunakokwenda kuna watu wanaona wamepata mwanya wa kuivuruga Tanzania na inatisha namna wanavyotumia fedha nyingi kufadhili vijana na magenge ya watu wanaochochea vurugu Tanzania.View attachment 3588098
huyu mzee hekima na busara vimempitia pembeni uzeeni, dah

mzee hasara sana huyu
 
Mwanasiasa Jacob Samwel Malate wa Ilala Dar es Salaam amemshutumu Waziri Mkuu Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa kusababisha taharuki na kuchochea mzozo katika jamii kufuatia kauli alizotoa hivi karibuni alipohojiwa na chombo kimoja cha habari za mtandaoni.

Mzee Malate ameelezea kushangazwa na tabia ya Mzee Warioba akisema Mzee huyu amekuwa na tabia zisizo za kiuongozi na zenye nia mbaya kwa Serikali na nchi ambayo yeye mwenyewe aliwahi kuitumikia.

Mzee Malate ameungana na kauli iliyowahi kutolewa na Marehemu Kepteni John Komba kuwa Mzee Warioba ni tatizo pale alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kupinga mjadala uliokuwa unaendelea Bungeni kuhusu mchakato wa Katiba Mpya ambao hatimaye ulisababisha Katiba Mpya kutopatikana.

“Huyu Mzee anadhani mawazo yake ni lazima yawe, anataka Serikali ifanye anavyotaka yeye, anapenda sana umaarufu wa kwenye vyombo vya habari, na anadharau sana viongozi wa Serikali waliopo, hiki kitu sio sawa” amesisitiza Mzee Malate.

Aidha, Mzee Malate ameshauri Chama Cha Mapinduzi na Serikali imchukulie hatua Mzee Warioba kutokana na kutumia wadhifa wake uliopita vibaya kwa kuwa unaweza kuiingiza nchi katika matatizo makubwa yatakayoleta athari kwa watu wengi.

“Sasa Mzee Warioba aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kama Sheria zina shida kwa nini hakurekebisha wakati huo? Kama ni suala la Katiba Mpya kwa nini alishiriki kuvuruga mchakato wa Katiba Mpya mwaka 2014? Nakubaliana na Marehemu Kepteni Komba huyu Mzee Warioba ni shida kubwa sana, anapaswa kuthibitiwa” ameongeza Mzee Malate

Aidha, Mzee Malate ameomba Serikali katika hali iliyopo sasa isicheke na mtu yeyote anayetaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi kwani tunakokwenda kuna watu wanaona wamepata mwanya wa kuivuruga Tanzania na inatisha namna wanavyotumia fedha nyingi kufadhili vijana na magenge ya watu wanaochochea vurugu Tanzania.View attachment 3588098
Huyo Komba Yuko wapi,unatumika kama toilet paper Kisha uliyemchambisha anaendelea na maisha yake wewe uko kwenye dumppit huna thamani tena.

Tufanye serikali Iko sawa kwa Kila kitu,kwanini promo zimekuwa nyingi na tuzo za mchongo Kila kukicha!

Kwani unafanya maigizo kwenye mambo yasiyo na ulazima wa maigizo!

Angesimama na 4R's zake kabla wahuni hawajamuingiza mkenge haya yote yasingetokea,angalia sasa chuki aliyoizalisha anahemea wapi!

Karma,narudia neno karma
 
Back
Top Bottom