Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

Pole.
Kuondokana na hiyo hali inaanza na mawazo yako kwanza. Sema nataka kuwa mwanaume rijali. Baada ya hapo inabidi ujitoe kufanya mambo haya ila usitegemee matokeo ya ghafla. Jipe hata miezi 6 ya kujiimarisha.

1. Acha punyeto
2. Acha kuangalia porn
3. Kuwa busy.
4. Fanya mazoezi mara 5 kwa week.
5. Kula vyakula vya protini
6. Kula matunda.
7. Jichanganye na marafiki.
8. Kuwa na mwanamke.
 
ACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!

Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.

Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.

Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.

Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
Ndio imetoka hiyo...imarisha lishe...endelea kupiga nyee huku ukitumia muvi za x.....siku ukikutana na demu jiti linalala...ndio maisha uliyojitakia....utelezi wa k hutopata...mana umeamua kujipa utelezi kwa sabuni.
 
Hapo umesha athiri misuli ya uume
Inatakiwa utumie dawa ili kuirudisha kuwa strong na show utapiga vizuri tu
 
ACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!

Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.

Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.

Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.

Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
HUYODEMUNDIOANAMATATIZO

Kwani we ukitaka kupiga nyeto haisimami?
 
Umekaa miaka mingi sana bila kuosha rungu. Huyo demu kama bado anakuelewa katoe mahari umuoe uanze kula mema ya nchi na kuachana kabisa na nyeto.

Pia mueleze huyo demu tatizo lako asije kukuona choko bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom