Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

Uume hausimami vizuri, naombeni msaada

ACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!

Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.

Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.

Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.

Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
 
Asante nikizingatia nnaweza kupata majib kwa mdagen?

Acha punyeto,acha kuangalia porno,kula vyakula halisi,fanya mazoezi ya kegel kila siku, Usitumie Soft drinks,lala masaa 7 hadi 8,Epuka mawazo.zingatia sana hivi vitu utakuja toa mrejesho
 
ACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!

Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.

Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.

Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.

Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
Umejaribu kwenda kwa Mwamposa?
 
Asante nikizingatia nnaweza kupata majib kwa mdagen?
Yategemea na ukubwa wa tatizo na mapokezi ya Mwili wako nakuhakikishia utapona Kama utafuata nilivyokwambia kwaiyo yaweza ikawa miezi 2 ,3 ,+++++
 
Yategemea na ukubwa wa tatizo na mapokezi ya Mwili wako nakuhakikishia utapona Kama utafuata nilivyokwambia kwaiyo yaweza ikawa miezi 2 ,3 ,+++++
Kwahyo wakat nafanya hayayote ctakiwi kufanya sex Kama ninamke
 
Nyie mnaosema ale chakula sijui maparachichi na kufanya mazoezi kwa wingi mnazingua sana.

Kuna kitu kinaitwa PIED (Porn Induced Erectile Dysfunction) mnaweza mka-google nadhani mtoa mada kimemuathiri maana kinaendana na nyeto.

Cha kukushauri Acha Nyeto na Porno vyote viwili kwa pamoja utarudi kuwa kawaida 3-4 months. Its not about Chakula wala mazoezi.

But meanwhile kama unataka kunyoosha demu katafute dawa pharmacy zinaitwa TADALAFIL zinauzwa 4k Tshs japo kuna pharmacy zingine it goes mpaka kwenye 7k.

Hizo dawa zinapatikana pharmacy kubwa kubwa kama Nakiete etc

Tumia hizo dawa saa moja kabla ya tendo.

Ukifanya hivyo unitag. Asante !
 
Ukosefu wa nguvu za kiume ni more of psychological. Itibu fikra yako na ujiamini kwamba uko sawa. Ukijiwekea akilini kwamba una tatizo ndio unaongeza tatizo.

Wapo wanaopiga nyeto huu mwaka wa 20 na show wanapiga kama kawa. Mmojawapo ni mimi.

Mtamsikiliza huyu mpiga punyeto wa miaka 20, au mtasikiliza facts.

Punyeto ni ujinga na ina mazara, labda mama mnataka na wenzenu wayapate.
 
Nyie mnaosema ale chakula sijui maparachichi na kufanya mazoezi kwa wingi mnazingua sana.

Kuna kitu kinaitwa PIED (Porn Induced Erectile Dysfunction) mnaweza mka-google nadhani mtoa mada kimemuathiri maana kinaendana na nyeto.

Cha kukushauri Acha Nyeto na Porno vyote viwili kwa pamoja utarudi kuwa kawaida 3-4 months. Its not about Chakula wala mazoezi.

But meanwhile kama unataka kunyoosha demu katafute dawa pharmacy zinaitwa TADALAFIL zinauzwa 4k Tshs japo kuna pharmacy zingine it goes mpaka kwenye 7k.

Hizo dawa zinapatikana pharmacy kubwa kubwa kama Nakiete etc

Tumia hizo dawa saa moja kabla ya tendo.

Ukifanya hivyo unitag. Asante !
Kiongozi zinatib tatzo linaisha ama ni kubust wakakat wa kutaka kusex2
 
ACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!

Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.

Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.

Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.

Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
Kwa ushauri nasaha maana akili yako tayari imeshaharibika, naomba mtafute Dr Chris ?Mauki atakusaidia, namwona Instagram na youtube
Hauna shida kwenye uuume shida iko Kwa mindset yako, ukichange mindset uume utasimama
Ubarikiwe mpaka ushangae na Mungu anakupenda na kukuwazia mema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom