Kalumate
Member
- Jul 25, 2023
- 15
- 3
BukobaMkoa gani?
BukobaMkoa gani?
Unasex tu bila tabuInaweza chukua Kama mdagan kupona na je Kama unamke wakat unatumia dawa hii hutakiwi kufanya sex
DuuhACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!
Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.
Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.
Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.
Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
Alaa, kujilipuaUkosefu wa nguvu za kiume ni more of psychological. Itibu fikra yako na ujiamini kwamba uko sawa. Ukijiwekea akilini kwamba una tatizo ndio unaongeza tatizo.
Wapo wanaopiga nyeto huu mwaka wa 20 na show wanapiga kama kawa. Mmojawapo ni mimi.
Punyeto halikufanyi ukaacha kudindishooo, ila kila kiungo huwa kina kipindi cha mapumziko , kinapokuwa mapumziko mnalazimisha kiendelee tu ndo hapo sasaACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!
Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.
Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.
Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.
Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.
Nicheki mkuu mambo hayo yanaishaa sema andaa kama 150000 nauli ya kwenda na kurudi uchimbiwe miti ukipona unapeleka mbuzi basiACHA PUNYETO INAMADHARA, MI YAMENIKUTA!
Habari ya asubuhi wakuu, naombeni msaada pia mtanisamehe kwa uandishi wangu.
Ipo hivi...... Mwaka 2014 nilibahatika kufanya mapenzi mara moja tu baada ya hapo nikawa mpiga nyeto hadi sasa!
Yaani toka 2014 hadi April 2023 mwaka huu nilikuwa napiga punyeto tu.
Sasa usiku wa kuamkia leo WEDNESDAY, 12 APRIL 2023, kwa mara pili tena nilibahatika kupata mbususu demu ni Bikira shida imeanzia pale nilipotaka kuingiza, kichakatio kimesimama legelege sana nikikandamiza hakiingii kinajiKunjaKunja tu.
Nimekuja kwenu wakuu mnisaidie ili niweze kuondokana na hili tatizo (kama kuna dawa za uhakika naomba mnielekeza), sijaja kufurahisha/kuchangamsha genge.
Nipo HAI, KILIMANJARO.