Pole mkuu, anza kufanya mazoezi ya Kegel na uache punyeto. Wazo langu hilo
Sent using
Jamii Forums mobile app
1. Acha punyere.
2. Kunywa maji mengi.
3. Tumia ndizi, tikiti, tango kwa Sana yaani Sanaa kweli kweli usilete masihara kwenye matunda
4. Tafuta mbegu za maboga.
5 acha chips, wali na lightweight foods kula nguna na dagaa, nyama, samaki, na mbogamboga.
6.Acha kuangalia porn
7. Acha kutumia sukari kabisa kwenye chai na vitu vingine vyenye sukari hii ya vuwandani.
8 Pendelea kutumia pili pili kichaa kwenye msosi wako
9 Fanya mazoezi haya
-push ups
-sit ups
-squats
-KEGEL(kwa msisito zaidi)
-jump jack
10. Fanya sana ngono na mwanamke(hakuna jinsi lazima uzipige sana Ili uzizoee na confidence irudi)

Sikushauri utumie karanga mbichi Nazi na korosho zitakutia nyenge tu uende kuchukua sheria mkononi.
Kula hizo kitu kama una uhakika wa gemu constantly sio za KUNUNUA
Zingatia;
-UKIMWI unaua chukua tahadgari
-UTI, kaswende, kisonono, genital warts, HPV are everywhere beware and take care.

Ukizingatia haya yote kwa miezi sita tu nakuhakikishia utakuwa beast kweli kweli jiwe kweli kweli

shughuli Yako mtaa wataiskia na habari wataipata.