Mke wangu kaniambia nina kibamia pia uume wangu hausimami vizuri naomba msaada

mzungu wapink

Member
Oct 9, 2018
80
112
Nawasalimu wataalam na wasio pia

Mimi ni kijana wa miaka 30. Sio handsome kitendo kilichopelekea kua sitakwi na wanwake kitaani so nikawa najilipua mwenyewe toka nilivyobalehe mpaka leo.

Nimebahatika kuoa kimagumashi hivo hivo sababu nina kisu na nimepata watoto watatu. Katika maisha yetu sijawahi kumkojolea mke wangu bao mbili.

Hua napiga moja ambalo nalitafuata kwa masaa hata mawili hadi matatu na kuna wakati sipigi kabisa yaani namkojoza yeye tu alafu tunalala na nikishusha tu mzigo basi babu analala akija kuamka anakuwa na nguvu nyingi halafu nasikia maumivu kwenye urethra. Nimesahau kusema utotoni niliugua kichocho kwa miaka 7

Hivi Mwaka 2016 wife akaanza kurukaruka mpaka jana akaamua kunichana kuwa uume wangu haumtoshi halafu hapendi ile hali ya kuto kukojolewa.

Anadai sababu tuna watoto hapendi kuwaumiza so nitafute solution ya tatizo otherwise ata give up

Na tatizo sio kuwa dick ni ndogo ila haisimami vizuri kwahiyo haitanuki vizuri kumsugua kuta zake
Amesema amevumilia sababu ya upendo na watoto ila angesepa.

Nipo hapa kujua kama natibika au nimruhusu aende maana naumia anavyo ni cheat an sasa amekuwa kama ameathirika kisaikolojia yaani anapigwa hovyo seems like kuna kitu anatafuta na hakipati.

Tatizo no 1 nachelewa kukojoa au sikojoi kabisa

2 shahawa chache

Uume unasinyaa katikati ya game

Na wakati mwingine hasimami ndindindi

4 huwa sijisikii hamu hata week

Karibuni mnusuru ndoa waungwana

Sent by iOS
===
MAONI YA WADAU

Pole Anza na yafuatayo
Kila asubuhi fanya zoezi la kukimbia angalau nusu saa
Pili siku ambazo hukimbii ruka kamba
Fanya zoezi kwa siku tano kwa wiki.
Zingatia kula dona, mboga za majani na matunda
Punguza unywaji wa soda! Baada ya mwezi utaona mabadiliko makubwa. Asante
===
Pole sana kwa huo mtihani aisee. Tatizo lako sio kubwa na linatibika hata kwa miti shamba kadhaa tuu especially hilo la kutoweza kusimamisha,kukosa hamu,kufika kileleni,kuongeza mbegu na kuhusu hilo la maumbile madogo unaweza kukuza ila ni risk sana.

Anza kwa kujitibu akili yako, iaminishe tatizo lako ni dogo na lina tibika kisha tafuta mtaalam mzuri wa miti shamba atakupa dawa ambazo sidhan kama sitaku ghalim sana,matumizi yake hayatochua wiki na matokeo ya dawa utaanza kuyaona nadhan kuanzia siku ya pili baada ya kuanza dawa,watu wa aina yako nimeshuhudia wakipona na wengine walienda mpaka nje ila wakaludi bila kupona ila walipoingia kutafuta wazee walipona

Unaweza kujalibu na wazee wa humu kama akina kabanga,mzizi mkavu na mtu mzito nadhan utapata mwelekeo.

Pia siku nyingine uwe unasema na eneo ulipo itakulahisishia kupata msaada haraka.

Pawaga.
===
#1. Anzia hapa: Wanaume karibuni tutengeneze na kunywa juice ya mchanganyiko huu

#2. Epuka baadhi ya vyakula na pendelea vyakula vinavyoshauriwa: Zaidi soma hapa: Matibabu ya nguvu za kiume kwa waathirika wa punyeto

#3. Jifunze kwa wengine hatua walizo pitia. Zaidi soma hapa: Mrejesho : nimeshapona Nguvu za kiume kabla hata ya miezi mitatu
Na hapa: Naombeni ushauri nimeadhirika na punyeto

#4.
 
vijana too much suicide/self/nyeto ni hatari kwa afya...bora utafute hata mabeki 3 uruke nayo tu..kuliko kuja kuadhirika ukija kuowa kama mwana hapa..hela anayo lakini yupo kwenye ndoa akiwa hana furaha...

CHAPUTA ifutiwe usajili inapelekea vijana kuadhirika kwenye really relationships.....
 
vijana too much suicide/self/nyeto ni hatari kwa afya...bora utafute hata mabeki 3 uruke nayo tu..kuliko kuja kuadhirika ukija kuowa kama mwana hapa..hela anayo lakini yupo kwenye ndoa akiwa hana furaha...

CHAPUTA ifutiwe usajili inapelekea vijana kuadhirika kwenye really relationships.....

Your comments hurts me a lot bro
Sijahadhirika sbb hakuna anayejua zaidi yetu sisi wawili then we we Pia hunijui Mimi duo khanithi but am addicted to something which solution ipo seeking of tiba sio vijembe kebehi ma pang’ang’a nyingi


Sent by iOS
 
Back
Top Bottom