ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,309
- 41,057
😁😁
Dogo hujaenda churchInasikitisha sana 😎
Jana nmebeba zege Sana, nimechoka knoma nikaona leo niupumzishe mgongoDogo hujaenda church
Safiii show showJana nmebeba zege Sana, nimechoka knoma nikaona leo niupumzishe mgongo
HUWEZI, SEMA HUENDA UMESHIKWA BEGAMaisha yamekuwa magumu sana, imenibidi niitishe kikao cha dharula kwa hawa wapenzi wangu 11, kila mmoja aandike insha ya ukurasa mmoja yakueleza, zaidi ya tendo la ndoa wana nini cha kunipa?
Nimechoka kuwa mtumwa wa kuhonga honga mali/fedha au kutoa toa huduma zenye gharama kwa mbadala wa kupewa tendo la ndoa tu.
Kama hawana cha kunipa zaidi ya tendo la ndoa, nawapiga wote chini.
Hapo si nitakuwa nimewatendea haki?
Utumwa wa kuhonga honga siutaki tena.
Mtumwa mwingine huyu hapa; inabidi tukufanyie maombezi ya upako uweze kufunguliwa.Kuhonga sio utumwa mazee.... Sema huna hela...🤣
Ukishakuwa mwanaume imara huwezi kukwepa kuhonga wanawake ili upate kustarehesha uanaume wako..Maisha yamekuwa magumu sana, imenibidi niitishe kikao cha dharula kwa hawa wapenzi wangu 11, kila mmoja aandike insha ya ukurasa mmoja yakueleza, zaidi ya tendo la ndoa wana nini cha kunipa?
Nimechoka kuwa mtumwa wa kuhonga honga mali/fedha au kutoa toa huduma zenye gharama kwa mbadala wa kupewa tendo la ndoa tu.
Kama hawana cha kunipa zaidi ya tendo la ndoa, nawapiga wote chini.
Hapo si nitakuwa nimewatendea haki?
Utumwa wa kuhonga honga siutaki tena.
Siku mkiachana,atakwambia,hutakuja kuuona tena huu mguu wangu ukikanyaga kwako.Nimemrubuni uyu... Ndio tunatinga gesti mazeee walau na mm nikojoee
View attachment 3582937
Upwiru noma 🤣Nimemrubuni uyu... Ndio tunatinga gesti mazeee walau na mm nikojoee
View attachment 3582937