Utumishi mjiongeze kwa hili kwa suala la usaili kufanyika Dodoma pekee

Kama ni written watumie hata Quiz creator inafaa.Ila kama mtandao mbovu utalia maana muda ikiisha tu inajifunga chap.
Kwa njia ya mtandao hii ni ngumu sana kwa hapa bongo......ama kama vipi wafanye kama mitihani ile ya taifa inavyosimamiwa,then kwenye oral ndio waende Dodoma
 
Habari JF,

Naomba Sekretarieti ya Utumishi waweze kusaidia wahitimu weweze kufanya mitihani ya Ajira wakiwa mikoani kwao.

Majuzi TRA wametoa nafasi 1097 za Ajira ambazo ni nyingi sana kwa kipindi hiki cha Uchumi wa Kati.

Sasa Kikwazo ni hizi interview kufanyika huko Dodoma pekee. Kuna mtu alikuwa Makete namfahamu alishindwa kwenye kwenye usaili uliopita wa TRA, kisa tu ni kumudu gharama.

Sasa inakuwa vigumu kwa mtu aliyekuwa labda Songea ukipiga hesabu za usafiri na makazi ni ngumu sana. Inatia huruma na ghadhabu.

Kumbuka hizi interview zinakuwa na michujo mpaka tatu ,Je kwa mtu asiye na ndugu wala kipato atamudu vp?

Nashauri waangalie njia mbadala ili wengine wasikose kisa tu ya kuwa na kipato.
Aisee hapa umeongea vema sana. Kwasababu taasisi hizi ni za kitaifa zinaweza kutumia wawakilishi wake mikoani wakashirikiana na Sekretarieti kusimamia usaili kwenye mikoa au angalau wafanye kwa kanda
 
Habari JF,

Naomba Sekretarieti ya Utumishi waweze kusaidia wahitimu weweze kufanya mitihani ya Ajira wakiwa mikoani kwao.

Majuzi TRA wametoa nafasi 1097 za Ajira ambazo ni nyingi sana kwa kipindi hiki cha Uchumi wa Kati.

Sasa Kikwazo ni hizi interview kufanyika huko Dodoma pekee. Kuna mtu alikuwa Makete namfahamu alishindwa kwenye kwenye usaili uliopita wa TRA, kisa tu ni kumudu gharama.

Sasa inakuwa vigumu kwa mtu aliyekuwa labda Songea ukipiga hesabu za usafiri na makazi ni ngumu sana. Inatia huruma na ghadhabu.

Kumbuka hizi interview zinakuwa na michujo mpaka tatu ,Je kwa mtu asiye na ndugu wala kipato atamudu vp?

Nashauri waangalie njia mbadala ili wengine wasikose kisa tu ya kuwa na kipato.
Tz inatakiwa kubadilika inatakiwa kuanza kufanya online interviews ya kwanza ili kutowaingiza loss ma jobless ambao hawana kitu , mbona kipindi cha COVID-19 iliwezekana .
 
Aisee hapa umeongea vema sana. Kwasababu taasisi hizi ni za kitaifa zinaweza kutumia wawakilishi wake mikoani wakashirikiana na Sekretarieti kusimamia usaili kwenye mikoa au angalau wafanye kwa kanda
Sio lazima mkusanyike mfanye interviews kizamani, interviews ya kwanza written inatakiwa iwe online interviews ambayo unaweza fanyia kwenye smartphone au pc kisha second interviews ndo mnaweza kwenda wanapohitaji hii ni kwa kuanzia tu maana tz tunajivuta sana kweny tech, na hii inawezekana maana kipindi cha COVID-19 baadhi ya taasisi kama NMB-Bank walitumia online interviews kufanya written interviews na walifanikiwa 100% na sio kuwapotezea watu muda na pesa kwa kuwaita sehemu moja mwisho wa siku second interviews wanaitwa wachache
 
Habari JF,

Naomba Sekretarieti ya Utumishi waweze kusaidia wahitimu weweze kufanya mitihani ya Ajira wakiwa mikoani kwao.

Majuzi TRA wametoa nafasi 1097 za Ajira ambazo ni nyingi sana kwa kipindi hiki cha Uchumi wa Kati.

Sasa Kikwazo ni hizi interview kufanyika huko Dodoma pekee. Kuna mtu alikuwa Makete namfahamu alishindwa kwenye kwenye usaili uliopita wa TRA, kisa tu ni kumudu gharama.

Sasa inakuwa vigumu kwa mtu aliyekuwa labda Songea ukipiga hesabu za usafiri na makazi ni ngumu sana. Inatia huruma na ghadhabu.

Kumbuka hizi interview zinakuwa na michujo mpaka tatu ,Je kwa mtu asiye na ndugu wala kipato atamudu vp?

Nashauri waangalie njia mbadala ili wengine wasikose kisa tu ya kuwa na kipato.

Kwanini wasiingie makubaliano na chuo kikuu huria ambacho kina matawi mikoan nchi nzima hadi unguja na pemba. Watu wakawa wanafanyia mtihani kutoka katika maeneo yao husika alafu usahili wa vitendo (oral) ukafanyika kikanda
 
Back
Top Bottom