MabatiBeiNafuu
Member
- Aug 24, 2021
- 72
- 65
Habari JF,
Naomba Sekretarieti ya Utumishi waweze kusaidia wahitimu weweze kufanya mitihani ya Ajira wakiwa mikoani kwao.
Majuzi TRA wametoa nafasi 1097 za Ajira ambazo ni nyingi sana kwa kipindi hiki cha Uchumi wa Kati.
Sasa Kikwazo ni hizi interview kufanyika huko Dodoma pekee. Kuna mtu alikuwa Makete namfahamu alishindwa kwenye kwenye usaili uliopita wa TRA, kisa tu ni kumudu gharama.
Sasa inakuwa vigumu kwa mtu aliyekuwa labda Songea ukipiga hesabu za usafiri na makazi ni ngumu sana. Inatia huruma na ghadhabu.
Kumbuka hizi interview zinakuwa na michujo mpaka tatu ,Je kwa mtu asiye na ndugu wala kipato atamudu vp?
Nashauri waangalie njia mbadala ili wengine wasikose kisa tu ya kuwa na kipato.
Naomba Sekretarieti ya Utumishi waweze kusaidia wahitimu weweze kufanya mitihani ya Ajira wakiwa mikoani kwao.
Majuzi TRA wametoa nafasi 1097 za Ajira ambazo ni nyingi sana kwa kipindi hiki cha Uchumi wa Kati.
Sasa Kikwazo ni hizi interview kufanyika huko Dodoma pekee. Kuna mtu alikuwa Makete namfahamu alishindwa kwenye kwenye usaili uliopita wa TRA, kisa tu ni kumudu gharama.
Sasa inakuwa vigumu kwa mtu aliyekuwa labda Songea ukipiga hesabu za usafiri na makazi ni ngumu sana. Inatia huruma na ghadhabu.
Kumbuka hizi interview zinakuwa na michujo mpaka tatu ,Je kwa mtu asiye na ndugu wala kipato atamudu vp?
Nashauri waangalie njia mbadala ili wengine wasikose kisa tu ya kuwa na kipato.