Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,384
- 105,225
Kufuatia taarifa iliyotolewa tarehe 28/10/2023 katika Mkoa wa Mbeya wilaya ya Chunya.
Kuhusu wachimbaji kukutwa na vipande 160 vya dhahabu, walivyokuwa wakivitorosha kwenda kuuza nje ya mfumo rasmi.
Ni malalamiko ya wachimbaji wengi kuwa mfumo rasmi wa ununuzi wa dhahabu umekuwa na ushuru mkubwa sana ambao haumfaidishi mchimbaji.
Awali kabla ya mfumo huo rasmi kuja, wachimbaji walikuwa wanauza dhahabu zao sehemu yeyote ambayo wanaona kuna soko zuri la dhahabu.
Lakini tangu mfumo huu wa soko rasmi uletwe na serikali, wachimbaji wamekuwa wakiuziwa dhahabu zao kwa bei ndogo sana ukilinganisha na ile waliyokuwa wakiuza kabla ya mfumo huu kuja.
Zamani kabla ya mfumo rasmi kuingia dhahabu ya gram moja ilikuwa inauzwa hadi 200,000 huko kwenye masoko ya nje na mji.
Lakini serikali ilivyokuja na mfumo rasmi imewataka wachimbaji wauze gram moja kwa 130,000 kiasi ambacho kilionekana kuwa kidogo kisicho watosheleza baadhi ya wachimbaji.
Na kusababisha waanze kuvunja sheria kwa kutoka nje ya mji kuuza dhahabu kama njia ya magendo.
My take: Serikali iongeze bei ya ununuzi wa dhahabu kwenye mfumo rasmi wa soko lake, hii itapunguza wachimbaji kutorosha madini.
Kuhusu wachimbaji kukutwa na vipande 160 vya dhahabu, walivyokuwa wakivitorosha kwenda kuuza nje ya mfumo rasmi.
Ni malalamiko ya wachimbaji wengi kuwa mfumo rasmi wa ununuzi wa dhahabu umekuwa na ushuru mkubwa sana ambao haumfaidishi mchimbaji.
Awali kabla ya mfumo huo rasmi kuja, wachimbaji walikuwa wanauza dhahabu zao sehemu yeyote ambayo wanaona kuna soko zuri la dhahabu.
Lakini tangu mfumo huu wa soko rasmi uletwe na serikali, wachimbaji wamekuwa wakiuziwa dhahabu zao kwa bei ndogo sana ukilinganisha na ile waliyokuwa wakiuza kabla ya mfumo huu kuja.
Zamani kabla ya mfumo rasmi kuingia dhahabu ya gram moja ilikuwa inauzwa hadi 200,000 huko kwenye masoko ya nje na mji.
Lakini serikali ilivyokuja na mfumo rasmi imewataka wachimbaji wauze gram moja kwa 130,000 kiasi ambacho kilionekana kuwa kidogo kisicho watosheleza baadhi ya wachimbaji.
Na kusababisha waanze kuvunja sheria kwa kutoka nje ya mji kuuza dhahabu kama njia ya magendo.
My take: Serikali iongeze bei ya ununuzi wa dhahabu kwenye mfumo rasmi wa soko lake, hii itapunguza wachimbaji kutorosha madini.