Utofauti wa nchi ya Tanzania na Congo DRC

Utofauti wa nchi ya Tanzania na Congo DRC

Tanzania ina export chakula kuja Congo. Sasa sijui ni nani mwenye njaa kati ya Congo na Tanzania!

Hebu pambaneni na Rwanda na Burundi kwanza, mkiwafikia mjaribu kuiongelea Tanzania!

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app[/QUOTE
tanzanite inatoka tanzania lakn wanunuz raia hawapo,ndomana mnapeleka nje,kama helazo bx nunueni nyie
 
Bana wee, mi hata sina muda kubishana na mkongo.

Have a nice day!
 
Nimezichunguza kwa makini
nchi hizi mbili mpaka nimekuja kugundua zinatofautiana katika mambo yafuatayo;

*Lugha ya kikoloni Tanzania ni kingereza, Congo ni kifaransa.
Lakini Congo kifaransa ni lugha inaongeleka na karibia watu wote kiasi kwamba inaonekana lugha ya kawaida.
Hii ni tofauti na Tanzania, ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana na ni lugha inatumika kama ufahari

*Nchini Tanzania wanafunzi wengi ndoto yao kuu ni kumaliza form 4 hata akifeli yeye ndo hapo amemaliza masomo, tofauti kabisa na nchi ya Congo vijana wengi wana ndoto ya kuhitimu elimu ya secondary na kupata diploma.

*Watanzania wanapenda umbea, vijana mpaka watu wazima, habari za udaku na tovuti za umbea ni maharufu sana na zinapendwa sana.
Lakini watu wa Congo wanapenda kusikiliza taarifa ya habari na uwezi kusikia tovuti za umbea zikawa maharufu kama ilivyo Tanzania.

*Tanzania ni nchi ya amani, kiasi amini hii ni fursa ya kifanya mambo makubwa ya kimaendeleo, lakini ni tofauti kabisa ambapo maisha ya raia mmoja mmoja ni magumu tofauti na Congo raia wako huru kufanya yao kuchimba madini ya nchi yao.

*Congo ni maarufu duniani kuliko Tanzania, inawanasoka na wanamuziki wazuri wanaitangaza nchi yao vyema duniani
ni neema kwa tanzania, mkoa wa Kigoma kuwa na watu wenye asili ya congo na burundi, watu wenye vipaji mbali mbali ndomana hata wasanii, mbunge, wachezaji bora ni kutoka Kigoma.

*Congo kuna wanamuziki, Tanzania kuna wasanii.

*Tanzania kuna shule nyingi kuliko Congo, lakini elimu ya Congo hiko juu kuliko ya Tanzania.

*Watanzania wengi hawajawahi kuiona zahabu ni tofauti kabsa na Congo kabisa hata mtoto mdogo huwezi kumdanganya zahabu

*Bolingo, rhumba, zuku ni mziki kutokea Congo, Tanzania haina logo ya kitu chao kimataifa tofauti na kuiga kutoka kwenye nchi zingine.

*Utanashati, kuwa smart, kujipenda ni kitu muhimu sana kwa wa Congo, Tanzania utamaduni huu hawanaga kabisa labda siku wameanza kuiga kutoka kwa wacongo.

*Elimu ya ngazi ya diploma Tanzania hata chuo kikuu yapo, Congo ngazi ya diploma imeishia kwenye seco, college, inst.

*Wanaume wengi wa kitanzania ni wavivu kitandani, jambo ambalo wacongo wako vizuri swala hili watanzania wanalielewa vizuri shughuli walio nayo vijana wa kicongo.

NB; Unaruhusiwa kuongeza yako unayoyajua, yapo mengi kwa leo tuishie hapo.
Povuuu la Jana umelileta huku
 
Unaonekàna una home fever rudi kwenu utapona, tuondolee kisirani kwenye nchi yetu.
tanzania n miongon mwa nch kumi ambazo wananchi wake hawana furaha dunian

tanzania n miongon wa nchi ambazo zko nyuma kimichezo

tanzania n miongon mwa nchi kumi zenye walev weng africa,na aslimia 40 wanakunywa mpaka kuzima.

hapo kuna cha kujvunia kuitwa mtanzania
 
Kagame is leading the East Africa and Central Africa Empire.
 
tanzania n miongon mwa nch kumi ambazo wananchi wake hawana furaha dunian

tanzania n miongon wa nchi ambazo zko nyuma kimichezo

tanzania n miongon mwa nchi kumi zenye walev weng africa,na aslimia 40 wanakunywa mpaka kuzima.

hapo kuna cha kujvunia kuitwa mtanzania
Kilichokukimbiza kwenu nini?
Afu unaonekana umesuka wewe
 
Kilichokukimbiza kwenu nini?
Afu unaonekana umesuka wewe
bila shaka takwimu zangu umezielewa vyema,,,nenda ukawahuliz wale ndg zako walioko congo,tanzania wamekimbia nini. wakikupa majibu yarejeshe alafu nkupe data zng
 
bila shaka takwimu zangu umezielewa vyema,,,nenda ukawahuliz wale ndg zako walioko congo,tanzania wamekimbia nini. wakikupa majibu yarejeshe alafu nkupe data zng
Yes umesema nchi yako ni bora asa sijui kimekuleta nn huku au saloon.
 
Nimezichunguza kwa makini
nchi hizi mbili mpaka nimekuja kugundua zinatofautiana katika mambo yafuatayo;

*Lugha ya kikoloni Tanzania ni kingereza, Congo ni kifaransa.
Lakini Congo kifaransa ni lugha inaongeleka na karibia watu wote kiasi kwamba inaonekana lugha ya kawaida.
Hii ni tofauti na Tanzania, ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana na ni lugha inatumika kama ufahari

*Nchini Tanzania wanafunzi wengi ndoto yao kuu ni kumaliza form 4 hata akifeli yeye ndo hapo amemaliza masomo, tofauti kabisa na nchi ya Congo vijana wengi wana ndoto ya kuhitimu elimu ya secondary na kupata diploma.

*Watanzania wanapenda umbea, vijana mpaka watu wazima, habari za udaku na tovuti za umbea ni maharufu sana na zinapendwa sana.
Lakini watu wa Congo wanapenda kusikiliza taarifa ya habari na uwezi kusikia tovuti za umbea zikawa maharufu kama ilivyo Tanzania.

*Tanzania ni nchi ya amani, kiasi amini hii ni fursa ya kifanya mambo makubwa ya kimaendeleo, lakini ni tofauti kabisa ambapo maisha ya raia mmoja mmoja ni magumu tofauti na Congo raia wako huru kufanya yao kuchimba madini ya nchi yao.

*Congo ni maarufu duniani kuliko Tanzania, inawanasoka na wanamuziki wazuri wanaitangaza nchi yao vyema duniani
ni neema kwa tanzania, mkoa wa Kigoma kuwa na watu wenye asili ya congo na burundi, watu wenye vipaji mbali mbali ndomana hata wasanii, mbunge, wachezaji bora ni kutoka Kigoma.

*Congo kuna wanamuziki, Tanzania kuna wasanii.

*Tanzania kuna shule nyingi kuliko Congo, lakini elimu ya Congo hiko juu kuliko ya Tanzania.

*Watanzania wengi hawajawahi kuiona zahabu ni tofauti kabsa na Congo kabisa hata mtoto mdogo huwezi kumdanganya zahabu

*Bolingo, rhumba, zuku ni mziki kutokea Congo, Tanzania haina logo ya kitu chao kimataifa tofauti na kuiga kutoka kwenye nchi zingine.

*Utanashati, kuwa smart, kujipenda ni kitu muhimu sana kwa wa Congo, Tanzania utamaduni huu hawanaga kabisa labda siku wameanza kuiga kutoka kwa wacongo.

*Elimu ya ngazi ya diploma Tanzania hata chuo kikuu yapo, Congo ngazi ya diploma imeishia kwenye seco, college, inst.

*Wanaume wengi wa kitanzania ni wavivu kitandani, jambo ambalo wacongo wako vizuri swala hili watanzania wanalielewa vizuri shughuli walio nayo vijana wa kicongo.

NB; Unaruhusiwa kuongeza yako unayoyajua, yapo mengi kwa leo tuishie hapo.
Hahahahaha...kituko cha mwaka. Congo ambayo majeshi yetu yapo huko kuwasaidia madogo wa kinyarwanda wasiwaone.
 
Nimezichunguza kwa makini
nchi hizi mbili mpaka nimekuja kugundua zinatofautiana katika mambo yafuatayo;

*Lugha ya kikoloni Tanzania ni kingereza, Congo ni kifaransa.
Lakini Congo kifaransa ni lugha inaongeleka na karibia watu wote kiasi kwamba inaonekana lugha ya kawaida.
Hii ni tofauti na Tanzania, ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana na ni lugha inatumika kama ufahari

*Nchini Tanzania wanafunzi wengi ndoto yao kuu ni kumaliza form 4 hata akifeli yeye ndo hapo amemaliza masomo, tofauti kabisa na nchi ya Congo vijana wengi wana ndoto ya kuhitimu elimu ya secondary na kupata diploma.

*Watanzania wanapenda umbea, vijana mpaka watu wazima, habari za udaku na tovuti za umbea ni maharufu sana na zinapendwa sana.
Lakini watu wa Congo wanapenda kusikiliza taarifa ya habari na uwezi kusikia tovuti za umbea zikawa maharufu kama ilivyo Tanzania.

*Tanzania ni nchi ya amani, kiasi amini hii ni fursa ya kifanya mambo makubwa ya kimaendeleo, lakini ni tofauti kabisa ambapo maisha ya raia mmoja mmoja ni magumu tofauti na Congo raia wako huru kufanya yao kuchimba madini ya nchi yao.

*Congo ni maarufu duniani kuliko Tanzania, inawanasoka na wanamuziki wazuri wanaitangaza nchi yao vyema duniani
ni neema kwa tanzania, mkoa wa Kigoma kuwa na watu wenye asili ya congo na burundi, watu wenye vipaji mbali mbali ndomana hata wasanii, mbunge, wachezaji bora ni kutoka Kigoma.

*Congo kuna wanamuziki, Tanzania kuna wasanii.

*Tanzania kuna shule nyingi kuliko Congo, lakini elimu ya Congo hiko juu kuliko ya Tanzania.

*Watanzania wengi hawajawahi kuiona zahabu ni tofauti kabsa na Congo kabisa hata mtoto mdogo huwezi kumdanganya zahabu

*Bolingo, rhumba, zuku ni mziki kutokea Congo, Tanzania haina logo ya kitu chao kimataifa tofauti na kuiga kutoka kwenye nchi zingine.

*Utanashati, kuwa smart, kujipenda ni kitu muhimu sana kwa wa Congo, Tanzania utamaduni huu hawanaga kabisa labda siku wameanza kuiga kutoka kwa wacongo.

*Elimu ya ngazi ya diploma Tanzania hata chuo kikuu yapo, Congo ngazi ya diploma imeishia kwenye seco, college, inst.

*Wanaume wengi wa kitanzania ni wavivu kitandani, jambo ambalo wacongo wako vizuri swala hili watanzania wanalielewa vizuri shughuli walio nayo vijana wa kicongo.

NB; Unaruhusiwa kuongeza yako unayoyajua, yapo mengi kwa leo tuishie hapo.



Umekurupuka kijana, usipende kuongea kitu kisicho na kichwa wala habari. Kule DRC kujuwa kifaransa ni mpaka uwe umesoma si kila Mcongo anajuwa kifaransa, huu ni uwongo. Kuhusu kusoma, ni ndoto ya kila Mcongo na Mtanzania kupata shahada ya juu, tatizo katika nchi hizi zote mbili ni uwezo wa wazazi kusomesha hao watoto wao. Katika umbea, hapa sikubaliani wewe pia kwani wacongo haswa wanaume ni wambea kupitiliza sawa tu na vijana wa kibongo. Utakuta wengi wao badala ya kujishughulisha na vitu vya maana wao wanashabikia ujinga na umbea usio na tija kwao huku wakipoteza muda.....hapa tumelingana na wacongo. Mablogu ya umbea yako mengi sana tena shinda hata hapa Tanzania. Katik ushamba, tuko sawa au labda Congo kidogo wako nafuu kwa sababu hapa Tanzania mwanamke anaona ufahari kuolewa na mzungu wakati Congo wanakushangaa kwa kuona umekurupuka. Ushamba kwa waafrika ni ufahari kwao maana wengi wanaona kuongea lugha za kikoloni ndiyo kusoma na kuna mpaka nchi nyingine hapa Afrika zinatengana na kuuana kwa kugombania lugha za kikoloni mfano, Cameroon. Wale wanaozungumza Kifaransa wanapigana na kukejeliana na wazungumzao Kiingereza na kujifanya wao ni wazungu zaidi shinda wenzao, wapuuzi sana.
 
Hahahahaha...kituko cha mwaka. Congo ambayo majeshi yetu yapo huko kuwasaidia madogo wa kinyarwanda wasiwaone.
hakuna wanajesh ambae anaweza kulinda amani congo sems siasa za un ndo zimewaweka pale,,na nina huakka siasa ya un bado inakutatza,lait ungekuwa na huwelewa juu ya hl swala hata usnge ongea chochote, hv unaweza niambia monusco ina miaka mingap drc na imeleta mabadlka au ina msaada gan katka nchi ya congo,..labda nkusaidie tu monusco huwa ni watalii tu ndan ya nchi ya congo..hasa wa tz hawanaga wanachokfnya
sana watakuja kuwasimulia misitu,mito,milima na mabonde,rasilimal za inch yako,waulze vzr habar njema wanayo,urudi tena kuweka jam lako hapa
 
Yes umesema nchi yako ni bora asa sijui kimekuleta nn huku au saloon.
hv unafkr yul baloz mkamuibia pesa zake unafkr alkuja tanzania kwa vle aliona tanzania ni bora kulko nchi yake
 
1.Congo kuna wanamuziki, Tz kuna wakaa Uchi na watangaza ngono.

2. Hivi Congo wana mwenge? Tz unapita kila mwaka na kila unapolala mwenge, pananuka Ngono tupu.
Salamu kiongozi....nalinda mzimu wa Mwenge leo.

Huu mzimu hatari zindiko lake ni lazima nchi iwe inaibiwa weeeee na wote kimya...

Ukiona Mtz anapiga kelele wizi ujue hakupata kitu.

Akiitwa zilipowekwa hutomuona akiongea.utasikia kimya
 
Back
Top Bottom