Rasilimali ambazo hata kagame anajichotea tu!
Kuna vitu kadhaa ambavyo wakongo mnatuzidi watanzania.
- kujichubua. Hata mtoa mada nahisi amejichubua kumshinda Dada yake.
- kupenda kulelewa. Kuna uwezekano mkubwa mtoa mada yuko magomeni anafugwa na jimama la kibongo alafu anaisifia Kongo.
- wanaume kuvaa nguo za kike. Sio mara moja au mbili nimeona vijana wa kikongo wakiwa wamevaa blauzi.
Mtoa mada kua na adabu, hapo Congo ni kama shamba la kijiji, kila mtu anajichumia tu!
Subiri M23 wakiwabana tena tutakuja kuwasaidia!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39][/QUOTE
ukwel siku zote unauma,sasa nyie nayo mnalp la kujvunia,aman kwenye njaa
ma vyuma vitazd kukaza