Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,693
59,841
Nawasalimia wana JF wote.

Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo.

Sipendi niseme kwamba jina Mungu au neno Mungu ndio sahihi katika kitu ninachotaka kuongelea. Lakini nitaongelea kwamba kuna nguvu ipo ambayo hatuwezi kuielezea kwa namna ya mambo yanayoonekana.

Bila kupoteza muda naanza kama ifuatavyo.

LAW OF CONSERVATION OF ENERGY

states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.

Kabla ya kuendelea kuongelea Law kwanza tunatakiwa tujiulize energy ni nini?
Energy is the ability to do work - Nishati ni uwezo wa kufanya kazi.

Kaitka vitu vyote vilivyopo ndani yake kunakuwa na Energy. Hata kama kiwe kimetulia.

Mpaka sasa wanasayansi wanajua namna ya kuitumia energy. Lakini kupata kujua energy ni kitu gani bado utafiti unaendelea.

Mwiliunahitaji chakula na ndani ya chakula kuna chemical energy ambayo hutumiwa ndani ya mwili na cells ilikuufanya mwili uweze kufanya kazi. Kazi zote zinazofanyika kwenye mwili energy ndiyo inayafanya zifanyike.

Pasipo energy hata existence ya kitu chochote kisingekuwepo.

Source of Energy

Wale waliosoma Quantum Physics au waliosoma Particle Physics
Hapa utasoma Fundamental particles and force inayohusu matter and radiation.

utakuja kuona ndani ya Atom kuna particle zipo ambazo ndani yake kuna energy.

Lakini utakapoenda ndani zaidi utakutana na vibration (Frequencies) ya very small particles.
Sasa ukienda zaidi kufanya utafiti hizo simall particles zimeundwa na nini. Jibu utapata void

WHAT IS VOID


: opening, gap. : empty space : emptiness, vacuum. : the quality or state of being without something .

Hiyo ndiyo tafsiri ya neno Void.

Je Void inaweza ikatengeneza haya maajabu yote tunayoyaona?

Nuclear Energy, Fossil Energy, Solar Energy, Electric Energy etc? Au kuna The very Powerful Existence iliyo juu ya uwezo wetu?

Basi kwa tafsiri hii naweza nikasema The Powerful Existence Beyond of our thinking which is the source of Energy is so called God or Allah in our understanding.

Hiyo ni Introduction ya thread yangu hii. Nitaendelea kuenda ndani zaidi kwa evidences za kisayansi.....
 
Kuna wanasayansi wengi wanakiri kwamba kuna existance ipo ambayo uwezo wake ni mkubwa sana.

Hata theories mbalimbali zinazoongelea namna Universe come to existence zinaonesha kuwa kunajambo lipo kubwa sana lililo juu ya uwezo wetu.

Big bang Theory

The Short Answer: The big bang is how astronomers explain the way the universe began. It is the idea that the universe began as just a single point, then expanded and stretched to grow as large as it is right now—and it is still stretching!
7-whatisthebig.jpg

What an Idea!
The universe is a very big place, and it’s been around for a very long time. Thinking about how it all started is hard to imagine.
 
Who created the energy in the universe?
Maelezo mengine ni magumu kuyaeleza kwa kiswahili. Lakini hapa nitaeleza kwa kingereza.


The origins of the energy in the universe are not fully understood, and there are many different theories about how it came to exist. According to the prevailing scientific view, the universe began with the Big Bang, a massive explosion that occurred approximately 13.8 billion years ago. At the moment of the Big Bang, all the energy in the universe was concentrated in a single point known as a singularity.

The precise origin of the energy in the singularity that existed at the beginning of the universe is not known, but it is believed to have emerged spontaneously from the vacuum of space. This energy then drove the rapid expansion of the universe that took place in the moments after the Big Bang, eventually cooling and condensing to form the matter that makes up the stars, planets, and other objects in the universe.

Some religious traditions may attribute the creation of the energy in the universe to a divine creator or force, but this is a matter of personal belief and interpretation. Scientifically speaking, the origins of the universe and its energy remain a subject of ongoing research and investigation.
 
What is singularity in the Big bang theory?

In the Big Bang theory, a singularity refers to a point of infinite density and temperature that existed at the beginning of the universe. According to the theory, the entire universe was once contained within this singularity, which was incredibly small, hot, and dense. At this point, the laws of physics, as we understand them today, did not yet exist.

As the universe rapidly expanded, it cooled down, and subatomic particles like protons and electrons began to form. Over time, these particles combined to form atoms, which then combined to form stars, galaxies, and the other structures we observe in the universe today.

The concept of a singularity is important in the Big Bang theory because it explains how the universe began and evolved over time. While scientists do not yet fully understand what happened during the first moments of the universe's existence, the Big Bang theory has become the most widely accepted explanation for the origins and evolution of the universe based on a large body of observational and theoretical evidence.
 
Mungu Yupo Mahali Popote (Omnipresent).

Kutokana na Imani za dini mbalimbali zinasema Mungu yupo mahali popote.
Kwa upande mwingine tunapoongelea Energy hakuna kitu duniani kisichokuwa na Energy. Energy ipo popote.
Which object does not have energy?
All objects in the universe have energy, including subatomic particles, atoms, molecules, planets, stars, and galaxies. This energy can take many forms, including kinetic energy (energy of motion), potential energy (energy due to position or configuration), thermal energy (energy due to temperature), and electromagnetic energy (energy due to electric and magnetic fields).

Therefore, there is no object in the universe that does not have any energy. Even objects that appear to be stationary or at rest, such as a rock on the ground or a book on a shelf, have energy due to their position and the forces acting on them, such as gravitational or electromagnetic forces.
 
Uhai wa mtu upo sehemu gani?

A person's life is a complex and multifaceted concept that encompasses various aspects of their being, including physical, emotional, social, and spiritual dimensions.

In a physical sense, a person's life is located within their body, which includes all of the organs, tissues, and cells that work together to sustain their existence. The physical aspect of life is closely linked to the ability of the body to perform all of the necessary biological functions that are required to maintain life, such as respiration, circulation, digestion, and waste elimination.

However, life is not solely a physical phenomenon. A person's life also includes their emotional experiences, thoughts, beliefs, and relationships. These aspects of life are related to a person's mental and social well-being, and they are often shaped by their experiences, environment, and cultural background.

In a spiritual sense, a person's life can be seen as a reflection of their connection to a higher power or purpose. This aspect of life is often linked to beliefs about the meaning and purpose of existence, and it can influence a person's values, ethics, and sense of meaning in life.

In summary, a person's life is a complex and multi-dimensional concept that encompasses various aspects of their being, including physical, emotional, social, and spiritual dimensions, and it is not located in any one specific place or location.
 
Kwa nini Binadamu ni kama mashine tata?

Human beings are often compared to complex machines because they share many similarities in terms of their structure, function, and behavior. Here are a few reasons why human beings are often described as complex machines:

Both humans and machines have a specific purpose or function: Just like machines are designed and built to perform specific tasks or functions, human beings also have specific biological and cognitive functions that allow them to perform various activities and tasks.

Both humans and machines are made up of interconnected parts: Machines are composed of various parts and components that work together to perform a specific function. Similarly, the human body is made up of various interconnected systems, such as the circulatory, respiratory, and nervous systems, that work together to sustain life.

Both humans and machines require energy to function: Machines require a source of energy, such as electricity or fuel, to operate. Similarly, the human body requires energy from food and oxygen to perform various functions and sustain life.

Both humans and machines can malfunction or break down: Machines can break down or malfunction if they are not maintained or if they are used improperly. Similarly, the human body can experience health issues or diseases if it is not properly maintained or if it is exposed to harmful factors, such as toxins or pathogens.

Overall, the comparison between humans and machines serves to highlight the remarkable complexity and sophistication of the human body and mind, as well as our ability to design and build machines that can perform increasingly complex tasks.
 
Very very weak arguments
Ni wanasayansi wa Mzumbe tu ndyo wana mawazo shallow hivi
Fuy3-pkWcAEp6Z8.jpeg


Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.


Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
 
View attachment 2603202

Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.


Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
Yes. Ukienda zaidi kama wewe ni mwanasayansi utahoji uwepo wa energy. Imetokea wapi? Mbona energy ipo kila sehemu?
 
Kwenye ulimwengu ambao mchakato wake ni wa vurugu na usio na mpango wala lengo (kama wakana Mungu wanavyodai), hamna nafasi ya kupata ukweli wala maarifa kwani tunakuwa tumefungwa kwenye mchakato wa visababishi vya kimwili (physical determinism).

Yani kama tuchukue kopo tuweke herufi tatu ndani A,B,C tulitingishe kisha tuangalie all the possible combinations, ambazo zitakuwa ni ABC, ACB, BAC, BCA, CAB, CBA. Mtu ataweza kusema combination sahihi hapo ni ipi? Kwa misingi gani mtu aseme ABC ndo sahihi?

Ndo sawa na Ulimwengu huu, kama kilichopo ni matter, space and time peke yake na hakuna kingine kinachoishi nje ya hivi basi hakuna chochote tunachoweza kusema ni cha maana au kweli, kila kitu kinakuwa kweli au kila kitu kinakuwa uongo.

Mawazo yetu yote, hesabu zetu zote, kanuni zetu za mantiki zote ni batili. Ziwe kweli kwa misingi ipi? Wakati tumeishafungwa kwenye mchakato wa visababishi vya kimwili (physical determinism)?

So hata tuseme Mungu yupo, hayupo, kuua ni sawa sio sawa, kutesa wengine ni sawa sio sawa, useme 1+1 =4 na 1+1=2, useme mama yako ana miaka miwili wakati wewe una miaka 40 n.k vyote vinakuwa ukweli au vyote uongo.

Mpaka hapa, tukubaliane kwanza na mkana Mungu kuwa hatuwezi kupata ukweli wa jambo lolote lile ila kutoka kwa chanzo kingine kilicho nje na ambacho hakitegemei ulimwengu huu wa time, space, and matter, ambacho kinasimama thabiti na milele na hakibadiliki, ambacho ndo chanzo chetu cha ufahamu na hata mioyo yetu wote itashuhudia kuwa viwango vyake ni vya kweli na ndo msingi wetu wa kupimia ukweli wa mambo.

 
Nipatie jibu. Where does energy come from?
Umetoa definition ya energy hapo juu.

1. Energy haiteketezwi wala kuundwa/kuumbwa

2. Umesema kila kitu ni Energy

Mpaka hapo hujaona tatizo?

Maana yake huwezi kusema Mungu yupo na ni muumbaji wa vitu, wakati vitu hivyo vipo katika state ya energy ambayo awali umesema energy haiumbwi.

Na ukisema u fabricate hoja kulazimisha energy ionekane inaweza kuumbwa, basi utalazimika kutaja muumbaji wa huyo Mungu (kitu ambacho itakuwa ngumu kufanya)
 
View attachment 2603202

Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.


Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
Upumbavu wa mwanadamu ni pale anapofika mahali akaamini kitu ambacho hata dhamiri yake inamshuhudia kuwa alichoamini ni upumbavu!! Yaani mtu anaamini kuwa mifumo yote ya uhai uliyoiorodhesha na ambayo hujaiorodhesha ilitokea tu kama matokeo ya ajali nzuri ( a good chaotic interactions without any designer). Ni sawa na mtu kuamini kuwa inawezekana mtu akachanganya kalamu nyingi na karatasi nyingi kisha ikatokea barua inayosomeka na kukupa taarifa kuwa mkeo uliyemwacha ni akiwa na mimba amejifungua mtoto wa kike jana saa sita kamili ya usiku!!
 
Umetoa definition ya energy hapo juu.

1. Energy haiteketezwi wala kuundwa/kuumbwa

2. Umesema kila kitu ni Energy

Mpaka hapo hujaona tatizo?

Maana yake huwezi kusema Mungu yupo na ni muumbaji wa vitu, wakati vitu hivyo vipo katika state ya energy ambayo awali umesema energy haiumbwi.

Na ukisema u fabricate hoja kulazimisha energy ionekane inaweza kuumbwa, basi utalazimika kutaja muumbaji wa huyo Mungu (kitu ambacho itakuwa ngumu kufanya)
Asante kwa maelezo yako.

Sasa naomba tuende kisayansi zaidi.
Kweli Law of conservation of energy inasema Energy does not be created nor destroyed.

Tunajua definition ya energy kutokana na matokeo inayofanya. Lakini Energy it self hatuijui.

Vilevile nikatoa maelezo kuwa all objects in the universe has Energy.
Niliendelea kueleza kuwa energy imehifadhiwa wapi sasa kwenye Atom? Nikaongelea Particle Physics nikieleza kuwa siyo kweye Atom yote kunakuwa na Energy but kwenye very small particles. Na ukienda ndani zaidi ya hizo small particles unakutana na vibrations.

Ndio maana kwa sasa wamekuja na theory nyingine inaitwa String Theory. Kutafuta hivyo vibration kitu gani kina vibrant?

Hatimaye utakutana na void (Emptiness). So hapo sasa tuongelee hiyo emptiness ni nini?

So hiyo emptiness inakuja ina comply na imani za dini kwamba there is a strong Existence which we don't know.

Sasa hiyo Existence wengine wataita Mungu, Allah nk.

Ndiyo maana nikakuuliza ueleze how energy became to be kama ilivyo.
Ukitoa maelezo hayo basi utakuwa umetufumbulia fumbo la kutokuwepo Strongest Existence. La sivyo tuendelee kusema kuwa sayansi mpaka leo ina prove existence of so called God.
 
Asante kwa maelezo yako.

Sasa naomba tuende kisayansi zaidi.
Kweli Law of conservation of energy inasema Energy does not be created nor destroyed.

Tunajua definition ya energy kutokana na matokeo inayofanya. Lakini Energy it self hatuijui.

Vilevile nikatoa maelezo kuwa all objects in the universe has Energy.
Niliendelea kueleza kuwa energy imehifadhiwa wapi sasa kwenye Atom? Nikaongelea Particle Physics nikieleza kuwa siyo kweye Atom yote kunakuwa na Energy but kwenye very small particles. Na ukienda ndani zaidi ya hizo small particles unakutana na vibrations.

Ndio maana kwa sasa wamekuja na theory nyingine inaitwa String Theory. Kutafuta hivyo vibration kitu gani kina vibrant?

Hatimaye utakutana na void (Emptiness). So hapo sasa tuongelee hiyo emptiness ni nini?

So hiyo emptiness inakuja ina comply na imani za dini kwamba there is a strong Existence which we don't know.

Sasa hiyo Existence wengine wataita Mungu, Allah nk.

Ndiyo maana nikakuuliza ueleze how energy became to be kama ilivyo.
Ukitoa maelezo hayo basi utakuwa umetufumbulia fumbo la kutokuwepo Strongest Existence. La sivyo tuendelee kusema kuwa sayansi mpaka leo ina prove existence of so called God.
Umeongelea vitu ambavyo vina energy, ambapo wewe umedai hiyo energy ime occupy sehemu ndogo ya hivyo vitu.

Achana na hizo objects vipi kuhusiana na heat energy au light energy?

Energy hizo unaweza kuzielezea namna sawa na hizo object ulizosema energy yake ipo kwenye small particles?
 
Back
Top Bottom