ππSasa huyo Bashiru Ally ana vision gani zaidi tu ya kumsujudia binadamu mwenzake?
Angekuwa ana vision si angejitokeza hadharani yeye na mwenzake Polepole kumshawishi bosi wake kuurejesha Mchakato wa Katiba Mpya ya Wananchi?
Nadhani balozi NI mtumishi wa ummai!!βΏMuendelezo ule ule wa kuvunja katibaView attachment 1712997
Hiyo ni move duni sanaNadhani balozi NI mtumishi wa ummai!!βΏ
Utopolo kama ilivyo sura yako ghushi pia leta kinyume cha ushahidi huo kile unachokiita utopolo (incompetent by imitating capability that doesn't add up)Umeokota wapi huu utopolo wako ?
Kwenye barua ya uteuzi ilitaja nafasi mbili za uteuzi huo kwanza katibu mkuu kiongozi na wakati huo huo akateuliwa pia kuwa balozi kwa hadhi inayowakilisha nchi kutokana na majukumu yake kubebwa taswira ya taifa ndani na nje ya nchi kiutendaji katika kusimamia maadili ya watumishi wa umma hovyo ndivyo nilivyoelewa mie.Ata mm naitaji kujua
Ndiyo yaleyale ya;Angeteuliwa yeye J J Mnyika angekataa?
Aki enjo piaHatari sana watu wanavyo jilimbikizia madaraka na vyeo, mtu mmoja ana vyeo vitatu;
1) Yeye Katibu Mkuu Wa Chama.
2) Yeye Balozi.
3) Yeye Katibu Mkuu Kiongozi.
Mwingine nae anavyeo zaidi ya sita: Yeye Rais, Yeye Askofu, Yeye Mhubiri Wa Kanisa, Yeye Daktari, Yeye Injinia, Yeye Mwalimu, Yeye Dereva Taxi Bubu, Yeye Mkuu Wa Majeshi n.k
Yote hii kuwanyamazisha watakaotaka kupinga kuongezwa kwa mihula ya urais.
NB: Hili swala la kutaka kuongeza mihula ya urais, CCM wakitaka kulazimisha kwa kigezo bunge lote lakwao basi nchi hii inaingia kwenye mpasuko. Watu watakichafua vibaya sana maana sasa wanajuta kwanini waligoma kuandamana pindi Tundu Lissu alivotoa wito.
Yakitoto mnoo!Hiyo ni move duni sana
Teuzi kama hizi ndio zinafanya vijana wenye akili ndogo kujitoa ufahamu na kutetea hata mambo ya ajabu wakiamini ipo siku nao watakumbukwa.
Raisi mwenyewe ni Mwenyekiti wa Chama,. mpaka hspo tu chama kipo ikuluccm haina watu wengine hadi muanze kuhamishia chama Ikulu ?
Kateuliwa kuwa Balozi, Balozi ni mtumishi wa ummaBashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccm
Alidhani amevunja katiba kwa kuwa Bushiru hakuwa mtumishi wa umma.Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Nchi yenye watu milioni 60 alafu mtu mmoja anakua na cheo zaidi Ya kimoja , Hii Sio kabisaMkuu, jana kateuliwa vyeo viwili kwa wakati mmoja, soma hapo paragraph ya pili kutoka mwisho, ilioanza na "WAKATI HUO HUO"View attachment 1712922
Daaah ndio maana nyie mnakuwa hivyo mlivyo daaaaaah mambo bien huko mlikoKama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo