Uteuzi wa January Makamba unafikirisha sana, lifanyike Jambo

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
 
Makamba Jr ama kweli ni tishio kwa wale wanasiasa dhaifu na wapambe wao wenye ndoto za kuitamani nafasi urais kwa siku zijazo. Ni lazima watambue kuwa maamuzi ya Baraza la Mawaziri ni "collective responsibility" hata kama waziri binafsi ana mawazo tofauti na mawaziri wengine katika kuweka vipaumbele vya wizara yake.

Tabia imejijenga hapa jamvini kila siku kuleta nyuzi zenye maudhui ya kukandia yenye kufanana kuhusu utendaji wa Makamba Jr. Badala kutoa "constructive criticisms" dhidi, wao kwa makusudi kabisa hushambulia "personality" yake.

Ni vyema watu wakajikita katika kutoa ushauri nini kifanyike pale wizarani kuliko kujificha nyuma ya porojo, majungu na ushambenga. Ndiyo! Wizara ya Nishati ni nyeti sana kwa maendeleo ya uchumi wa nchi, lakini basi tutoe ushauri kwa serikali nini hasa kipya kifanyike ili kuifanya wizara hii iweze kuwa na tija zaidi.
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Hesabu za Hawa jamaa wa mbaaal gizani ni ngumu kuzielewa,

Yaani anawekwa mtu asiye na vigezo ktk nafasi Fulani nyeti Nia ni kuhakikisha aliyejuu yake anakwamishwa trough poor performance bila kujali ni Kodi za Wananchi zinatumika na mzigo wa umaskini wakitwishwa wengine.

Kwamba Ili marope atolewe Hadi wahakikishe aliyemweka amechafuka Hasa!!!

Hawana Chembe ya huruma Kwa wananchi.
 
It’s a pity

Inabidi afungiwe speed governor hasa kwenye matumizi ya mipango yake not necessary ni mipango mibaya mara zote but not thoroughly planned.

Hivi unawezaje kusema unafanya research kwa kugawa majiko, kama pilot scheme kuona utayari wa watu vijijini kutumia nishati ya Gas. Wakati ukifika maeneo yenyewe unayagawa hayo majiko kama sandakalawe barabarani mwenye kupata apate mwenye kukosa akose.

Hakuna mtu anachukua hata majina ya watu wanaopokea majiko na namna ya kuwa trace na kuchunguza kama baada ya miezi mitatu, sita au mwaka wangapi watakuwa nayo, kuwahoji ambao awatumii ni kwanini ili kubaini changamoto zao kama shida ni wa upatikanaji wa gas, bei ya gas as opposed na mkaa/kuni, au tabia tu.

Uwezi kugawa majiko ya gas tu ukasema unafanya research bila. ya kukusanya info has he even ever done a primary research before.

Huko kwenye mikopo ya mafuta ndio kabisa yaani ana ahidi watu mikopo bila ya kuomba ata kuona business plan, hakuna ata pilot scheme kupima ni aina gani ya watu wenye uwezo kuendesha hizo biashara sustainably businesses. It’s is as if hakuhitaji operation strategy ata kwenye kituo kidogo cha mafuta.

Uwezo wake ni mdogo mno; worst huyu mtu walimkabidhi usimamiaji wa uwekezaji kwenye gas, sidhani kama wahusika wanaelewa how complicated those finances are kwa mtu ambae ata ka primary research rahisi ya kuangalia mpango wake the approach is not desirable.

January ni mwepesi hana huo uwezo kama wanavyoamini huko CCM.

Can he even justify idadi ya majiko anayo hawa kama yanathamani ya shillings million 500 bila ya kubainika ufisadi. Useless individual huyu mtu anahitaji speed governor.
 
Hesabu za Hawa jamaa wa mbaaal gizani ni ngumu kuzielewa,

Yaani anawekwa mtu asiye na vigezo ktk nafasi Fulani nyeti Nia ni kuhakikisha aliyejuu yake anakwamishwa trough poor performance bila kujali ni Kodi za Wananchi zinatumika na mzigo wa umaskini wakitwishwa wengine.

Kwamba Ili marope atolewe Hadi wahakikishe aliyemweka amechafuka Hasa!!!

Hawana Chembe ya huruma Kwa wananchi.
So sad hila ndio ukweli wenyewe hiyo wizara kubwa kwake.
 
It’s a pity

Inabidi afungiwe speed governor hasa kwenye matumizi ya mipango yake not ni mipango mibaya mara zote not thoroughly planned.

Hivi unawezaje kusema unafanya research kwa kugawa majiko, kama pilot scheme kuona utayari wa watu vijijini kutumia nishati ya Gas. Wakati ukifika maeneo yenyewe unayagawa hayo majiko kama sandakalawe barabarani.

Hakuna mtu anachukua hata majina ya watu wanaopokea majiko na namna ya kuwa trace kama baada kuchunguza kama baada ya miezi mitatu, sita au mwaka wangapi watakuwa nayo, kuwahoji ambao awatumii ni kwanini ili kubaini changamoto kama urahisi wa upatikanaji wa gas, bei ya gas as opposed na mkaa/kuni, au tabia tu.

Uwezi kugawa majiko ya gas tu ukasema unafanya research has he ever done a primary research before.

Huko kwenye mikopo ya mafuta kabisa yaani ana ahadi watu mikopo bila ya kuomba ata business plan, hakuna ata pilot scheme kupima ni aina gani ya watu wenye uwezo kuendesha hizo biashara sustainable businesses.

Uwezo wake ni mdogo mno; worst huyu mtu walimkabidhi usimamiaji wa uwekezaji kwenye gas, sidhani kama wahusika how complicated those finances are kwa mtu ambae ata ka primary research rahisi ya kuangalia mpango wake the approach.

January ni mwepesi hana huo uwezo kama wanavyoamini huko CCM.

Can he even justify idadi ya majiko kwa shillings million 500 bila ya kubainika ufisadi. Useless individual huyu mtu anahitaji speed governor.
Kuna kampuni Kutoka kwetu imepigwa stop kuuza gas Nchi Jirani, soko la ndani linatafutwa.

Ukishajua gas ya mtwara nani wako nyuma ya mikataba hiyo, hutashangazwa na anachofanya marope.
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .
Sukuma gang mna chuki na January, Kwanza Samia sio Rais wenu,nyie Rais wenu yupo huko anaongoza kundi la malaika, huo ushauri wenu Ni just rubbish
 
Hesabu za Hawa jamaa wa mbaaal gizani ni ngumu kuzielewa,

Yaani anawekwa mtu asiye na vigezo ktk nafasi Fulani nyeti Nia ni kuhakikisha aliyejuu yake anakwamishwa trough poor performance bila kujali ni Kodi za Wananchi zinatumika na mzigo wa umaskini wakitwishwa wengine.

Kwamba Ili marope atolewe Hadi wahakikishe aliyemweka amechafuka Hasa!!!

Hawana Chembe ya huruma Kwa wananchi.
Hakika
 
Habari wana Jf ,ninapata shida sana kuamini kwamba kabla ya kuteua mtu kuwa kiongozi tunafuatilia kwa kina sana .

Kwa J Makamba mbali na kwamba ana roho nzuri na ndicho kitu nacho kipenda kwake nimeona haya :-

1.Kutakuwa na Shida kwenye ufaulu wa darasani ,sidhani kama ufaulu wake unaonyesha uhalisia wa uelewa wake .

2.Uwezo wa kuchakata vitu kichwani ni mdogo ,hii ndio imesababisha amekuwa na kauli tata na kebehi kwa wananchi .

Kwa kusema hivyo na kuangalia unyeti wa wizara ya Nishati :-

1.Mamlaka za Uteuzi zimpe Naibu na Katibu mwenye uwezo mkubwa na ushirikiano usisitizwe .


2.Kama kuna namna nyingine ifanyike Atolewe au apewe wizara zinazoendana nae Kama Sanaa,Michezo ,Muungano ,Utalii ...nk hii wizara inahitaji mtu mwenye kichwa kizima sana .

Lakini pia Ombi langu kwa Mamlaka za Uteuzi ziteue watu kwa kuangalia pia unyeti wa Eneo husika .

Mtoto ya Mama huyo haguchiki huyooooo
 
Kuna kampuni Kutoka kwetu imepigwa stop kuuza gas Nchi Jirani, soko la ndani linatafutwa.

Ukishajua gas ya mtwara nani wako nyuma ya mikataba hiyo, hutashangazwa na anachofanya marope.
Mmesahau alichosema babake? January ameteuliwa na ataendelea kupewa nafasi kwa sababu yeye ni mmoja wa 'wenyewe'. Januari hana sifa nyingine. Kwa waliosoma naye na waliokuwa nays vijiweni hawaamini kama kwa akili na uelewa ule mtu aweza kuwa waziri au hata mbunge.
 
Kuna urafiki na kuaminiana ila kama mtu anakuharibia kazi hakuna haja ya kumbeba.

Samia must act or else wananchi waelewe kwamba anayoyafanya Waziri wake yana baraka zake.
 
Back
Top Bottom