GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
Ni 3000 sio bukuKatiba ya Tanzania ina mapungufu, ukishampa Rais wa nchi mamlaka haya yote kisheria si salama kwa ustawi wa nchi kidemokrasia hasa ukizingatia nchi inafuata mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, na Rais anatokana na chama kimoja cha siasa, sasa anafanyaje kwa mamlaka haya kutenda haki na usawa kwa raia wote.
Yaani tangu awamu ya TANO hadi sasa ndiyo nimegundua Rais wa Tanzania ni mtu mkubwa sana... maana ukiweka list ya watu anaowateua nafikiri wanafikia zaidi ya 1000 na ushee.