Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,097
- 6,281
Hii ni sawa na wale wanaotolea macho uteuzi wa wale wanaowaona hawastahili.
Kamuuize Waziri wako wa kilimo tulichomshauri na tutachomshauri siku ya ushirika duniani .. Bodi zimeshaanza kuwekewa rasimu ya kuunganishwa kenge mmoja wewe.
Hapo Sasa Nchi NgumuHuku umande kule maharage...kazi na iendelee!
Kwani huyu Umande nae ni wa kwetu?Sipendelei mambo ya ukanda Ila Mimi Ni mzanzibar.
Unauliza PGO polisi?Kwani huyu Umande nae ni wa kwetu?
Ni mwendo swala tano.
Sipendelei mambo ya ukanda Ila Mimi Ni mzanzibar.
Hana ukabila ila ana ukanda 😂😂Sipendelei mambo ya ukanda Ila Mimi Ni mzanzibar.
Hata katiba ya Chadema ina mapungufu.Katiba ya Tanzania Ina mapungufu...
Kuna watu wanajifanya wasomi,, wakati hata simple task kuongea ung'eng'e inawatoa kamasi,, kuna waziri wa elimu wa Madagascar, yaani huyo mama eti ana PHD alafu anaongea broken English,, ha ha ha...Wana ilmu...
Wale jamaa wanakuaga wezi mno....Labda anapunguza yasitokee yale majina yote kwenye EPA na Escrow maana ilikuwa balaa mpaka mapadri wakala bila kunawa
Kuna shida gani? As long as the guy qualifies? Shida ni kuwaweka wajinga kwenye nafasi muhimu kama hizo. Kuna watu hawana la kuongeza zaidi ya kula perdiem tu. Hao ni kuwaogopa kama ukomaHuku umande kule maharage...kazi na iendelee!
Wasukuma wamesoma sana, JPM alikua sahihi kuwapa nyadhifa za juuHao ndio wasukuma wake kama ilivyokuwa kwa mwendazake kutujazia wasukuma
Udini jamani huyu mama sio mkabila ila ni mdini 🤣
Nyie si wezi bora achague waislamu tuuBwahahaha.......tunaipa dini ya mnyaazi kipaumbele.
Bandika shehe bandua kafiri
Shehe kala shavu