Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,303
- 2,079
hili halina shaka lakini Ngeleja anacho kile tu ambaco amepewa. Kumuwekea mtu malengo ya kufikia kitu fulani halafu humpi nyenzo za kufikia malengo hayo kunawanyima waliompa malengo hayo kumdai kwanini hajayatimiza. Lakini vile vile wale wanaoweka malengo wanamuwekea malengo ya namna gani? Huwezi kumwambia Ngeleja atatue tatizo la umeme wakati uhuru wa kufanya hivyo unaamuliwa na Baraza la Mawaziri.
Pia inawezekana uhuru wa kugawa rushwa Ngeleja kapewa na Baraza la mawaziri?