Utetetezi wa Sabaya, haupo kisheria, na pia unavunja kanuni za Kijasusi

Ushaur wa kichup huu! Kazia apo apo endelea kumdanganya
 
Tunafahamu hilo, na bado haitoshi kwa customized situation marekani sio viatu vya kulinganisha na tz . Amiri jeshi ni kitu ingine kbsa, naona ipo nuru juu ya Sabaya, kapatwa na hayo kwa Sababu ya uchanga na utopolo wa kajumulo!!
 
Rais ana kinga akikutuma kuuwa tukakukamata wewe hautakuwa na kinga kwa sababu rais amekutuma utakuwa mtuhumiwa namba moja wa hayo mauwaji

Sabaya kutumwa na rais haimuondolei hatia zaidi ni kwamba amekiri kosa ameirahisishia mahakama kesi

Ndiyo maana spika,jaji na waziri mkuu walijikinga ili watakapotii maagizo ya mkubwa wabaki salama baadae wasingefanya hivyo kama kutumwa na rais kufanya jambo ambalo ni kinyume na sheria

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa unakubali kwamba magufuli alikua muuaji na jambazi? Kama sio kwann amtume sabaya kufanya mauaji na ujambazi?
Hata kama kwenye ukoo wako hakuna kiongozi bora hata jitahidi uwe karibu na kiongozi wa juu ili ujue nini maana ya kuongoza linchi lenye watu waelewa na wajinga ujue ugumu wake.

Ilishindikana angalia hata movie zenye chembe chembe ta uongozi utapata hata point moja.

Tatizo la jf unaweza kujibizana na mdogo wako ukaishia kumlaumu bure ndo bado anasoma form 4b. Sorry huu ni mfano sikujui.

Mtu mwenye uelewa na akili anaejua uongozi ni nini huwezi kusimama na kusema magufuli alikuwa ni mbaya.huo ni upuuzi.

Aisee tumepoteza kiongozi makini hatuwezi pata kama jpm
 
Kumjua mtu kwa nje sio kuijua dhamira na yaliyojificha ndani yake, niishie kusema hivyo!
Nani aliijenga Libya? Nani aliuwa watu wengi Libya? Nani aliyeondolewa Libya na baada ya kuondolewa Libya ikoje hadi leo?
Nani wanayemlilia Libya?
 

Wee jamaaa una akili Sana, hili sabaya boya kweli, umenipeleka Hadi kwa Askari waliomwua kombe mstaafu mkuu wa usalama, iliyodaiwa bahati mbaya. Askari wale walikauka Hadi wakahukumiwa na serikali ikalipa fidia familia ya kombe. Ila raisi mkapa kabla hajakabidhi ofisi kwa kikwete akawaachia huru. Hili pimbi sabaya linapenda kujidai jasusi kichwani ziro, uji kabisa
 
Broda.

Unapewa Assignment na unapewa objectives lakini huchaguliwi means.

Unless hiyo means iwe ndio objective yenyewe.
 
dogo kapaniki sana atulie tu , yaani kushikwa tako siku mbili analialia , mbona wenzie aliwaingizia miti matakoni na kuwaharibu sehemu za siri akiwa madarakani hawakuhangaika, pia alikata watu masikio wala hakuona kama ni kitu, abebe msalaba wake mwenyewe mambo ya kina mwendazake hayahusiki hapa
 
Sabaya aliwahi kushitakiwa kwa kosa la kujifanya Afisa Usalama wa Taifa.

Na wakati huo alikuwa mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha.

Sasa ukiniambia Sabaya ni jasusi, ninapata mashaka kwamba inakuwaje jasusi ashitakiwe kwa kujifanya jasusi?
Ili ujue Kama ni jasusi au si jasusi kesi iliishaje ishaje?
 
Kwa lugha nyingine Sabaya alikuwa anamaanisha taasisi ya Urais huwa inaagiza watu kama yeye wafanye walichoagizwa kufanya na hakuna mahali wanaweza kuwa questioned hata kama walitenda jinai
 
Hii inatufundisha kufanya kazi kwa weledi, baadhi ya watu aliowataja sabaya wapo hai na walimuacha asote rumande huku wakijua mission yao ilikuwa vipi, hii ina maana kuwa sabaya kuna sehemu alikosea hivyo wakuu wake waliamua kumuacha ili kumfundisha adabu
 
Kumbe Rais akikutuma uue mtu na ww ukamuua ukakamatwa ukisema Rais alinituma unaachiwa?? Ina maana Rais ana haki ya kuua?? Kma ni death squads hazipo TISS au JWTZ mpaka atumie mwanasiasa kupiga mtu??

Kumtetea Sabaya kutumia hoja hii ndio kunazidi kuichafua serikali ya JPM..... Kwani polisi hawakuwepo?? Kwanini asiende na TISS/FIU wenzake ila mabaunsa wake??

Ipo hivi..... Ukitumwa kma haipo kisheria mfano walioenda kummaliza Lissu!! Ukikamatwa unakua kivyako vyako sababu ulilofanya pale lipo off record na nje ya sheria za nchi!!

Sasa kma jasusi unatumwa mission mpka ina backfire hivo then inabidi tutafakari tuna TISS wa aina gani? Hivi huyo Sabaya alishindwa kuhakikisha ushahidi unapotea?? Au kupata taarifa kiintelijensia bila kuhitaji kelele nyingi??

Mnazidi kuongeza maswali bora mkae kimya tu
 
Hakutumwa na mtu wala nini.. life style yake ndo imemponza. Mtu anatembea na wapambe 8 na malaya 8 kila siku bar zote. Bill ikija milioni 1.8 unategemea anazilipaje? Hapo ndo bado amekimbia bill sehemu kibao. Mshahara wake wenyewe hauzidi sh milioni 4. Atavuna alichopanda. Nashangaa anamwaga machozi mahakamani kuwa aliponea chupuchupu kuuawa mara 2. Sasaiv hata akishinda hiyo kesi bora ahame huu mkoa kabisa. Maana watu wa huku hawanaga mbili
 


Mkuu Zitto Kabwe,
Huyo hajui hata anachokieleza, kumsaidia ni kumuacha tuu na mawazo yake ya kijinga.

Yaani mtu anasimama kabisa Mahakamani anasema ati nimefanya hayo niliyoshtakiwa nayo sababu nilitumwa na Rais,
Hafikirii hata anachokisema kuwa ni kuichafua serikali ya awamu ya tano.
Hajui pia kuwa hata Kama alitumwa bado Yuko na hatia.

Alafu kuna watu wanaona huyo Sebaya yuko sahihi.
Ajabu hii
 
Its open secret world over that Governments have monopoly of violence.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…