Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,085
- 71,519
Tunaposema Sheria ni msumeno ni lazima ionekane !!.
Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.
GEKUL ashitakiwe !!.
Siwezi kufurahia Hatua ya Rais Samia , hatua inayofata ,SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
Hii tabia wanao hawa watu wanaojiita Viongozi, ni vile hayasemwi yaliyo yao.
GEKUL ashitakiwe !!.