Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Aliyeanzusha thread hii ni lazima ni mtu wa kutumwa na mafisadi.Haiingii akilini kwamba sasa Mpendazoe anaanza kushambuliwa baada ya kusema ukweli uliodhihiri katika ufusadi.ok nakubaliana na wewe kwamba mpendazoe ni mchafu, sasa unashauri asionge ubaya wa Mkapa au uchafu wowote?
Kitu cha msingi ni kuelewa kuwa Mhe. Mkapa hachukiwi kama Mkapa , lakini ni mambo yanayoenda against the grain of good gevernance ambayo yamewakera waTanzania wengi.
Kurudisha Kiwira mikononi mwa Serikali is a step in the right direction.
Ni wazi kuwa Mpendazoe ni mtu aliye na msimamo mkali zaidi katika hili.
Sasa Philemon asiwe mwoga,kama anaushahidi wa ufisadi wa Mpendazoe si apeleke to kwa Hosea ili sheria ichukue mkondo wake?
Tunamkoma nyani tu awe wa bluu, kijani au kijivu