Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Haingii akilini , Utekaji na Mauaji yaloshamiri Et uwe tu sababu ya Urais !! Hapana !!.
Huyu Rais alikataliaa na Magufuli katakata, Magufuli alimkataa katakata, hakutaka hata awe Makamo wake, ni basi tu alichomekewa.
Na Kwa Mapenzi ya Mungu na Ubovu wa Katiba yetu, Samia akawa Rais wa Bahati nayeye alikiri hili!!.
Haya tuseme amekoswa Jicho la Roho na amenogewa na Urais, akihisi anahitaji uchaguzi ili kujimwambafai kua nayeye anaweza kua Rais wa Kampeni na kuchaguliwa , Sasa ikiwa ni hivo, haya mauaji na utekaji ni yanini? Yaan itakufaa nini kua Rais baada ya kuteka na kuua Mamia Kwa Mamia?.
Hisia zangu zinakataa kuamini kua ni sababu ya Urais.
Kuna Mabilioni ya Wachina na Waarabu kuanzia MAPIKIPIKI n.k, Mabilioni hayo yamesambaa mpaka Kwa Wakuu wa Vyombo vya Dola, in turn Serikali ikawapa Ngorongoro, Misitu, Bandari, Migodi , Mwendokasi ,Bandari Bagamoyo , na Kukosekana Kwa uhakika wa Hatima ya Uhai wa Wachina na Waarabu ,ndio kunafanya Leo watanzania Wanatekwa, wanauwawa !!.
Watanzania Wanatekwa , kuuliwa na Wachina na Waarabu kupitia Serikali ya Rais Samia !!!
Huyu Rais alikataliaa na Magufuli katakata, Magufuli alimkataa katakata, hakutaka hata awe Makamo wake, ni basi tu alichomekewa.
Na Kwa Mapenzi ya Mungu na Ubovu wa Katiba yetu, Samia akawa Rais wa Bahati nayeye alikiri hili!!.
Haya tuseme amekoswa Jicho la Roho na amenogewa na Urais, akihisi anahitaji uchaguzi ili kujimwambafai kua nayeye anaweza kua Rais wa Kampeni na kuchaguliwa , Sasa ikiwa ni hivo, haya mauaji na utekaji ni yanini? Yaan itakufaa nini kua Rais baada ya kuteka na kuua Mamia Kwa Mamia?.
Hisia zangu zinakataa kuamini kua ni sababu ya Urais.
Kuna Mabilioni ya Wachina na Waarabu kuanzia MAPIKIPIKI n.k, Mabilioni hayo yamesambaa mpaka Kwa Wakuu wa Vyombo vya Dola, in turn Serikali ikawapa Ngorongoro, Misitu, Bandari, Migodi , Mwendokasi ,Bandari Bagamoyo , na Kukosekana Kwa uhakika wa Hatima ya Uhai wa Wachina na Waarabu ,ndio kunafanya Leo watanzania Wanatekwa, wanauwawa !!.
Watanzania Wanatekwa , kuuliwa na Wachina na Waarabu kupitia Serikali ya Rais Samia !!!