Watu wengi tulitarajia atoe hotuba kali sana kupinga haya masuala ya utekaji na mauji. Lakini hata alipo uliwa Mzee Ali Kibao, rais alitamka kifo ni kifo tu👇
Kitendo hiki kinakera sana. Yaani raia wanaolipa kodi zao ili ustawi wa taifa lao ukae vizuri. Imekuwa kosa kukosoa na kuhoji juu ya mustakabari wa taifa lao!
Kila anayehoji na kupinga ufisadi anatishiwa kutekwa na kupotezwa haya ni maisha gani?
Yaani watu wasijadili na kuhoji juu ya...
JWTZ ni dhahiri limekubali kujinasibisha na SIASA- ambayo ni kinyume na KATIBA ya JMT ni hatari zaidi kwa ustawi wa TZ.
Kwa mfano kauli ya Msemaji wa JWTZ kusema KAZI na UTU ni kauli ya kisiasa: kupitia ripoti ya Chande dhidi ya mauaji ya halaiki… Oct 29 moja ya sababu alizotoa zilizochochea...
Mara nyingi serikali umesema haihusiki na vitendo vya kuteka na kuuwa raia wake ila kwa muongo sasa vitendo hivyo vimeshamiri nchini.
Nakumbuka Waziri mkuu ndugu Nchemba alisema kuwa utekaji na mauaji hufanywa na watu wenye akilia sana bila shaka hapa anamaanisha kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na...
Kuna mambo mengine yapo wazi kabisa kwamba taifa linahitaji mabadiliko.
Kuwa na katiba ambayo ilitungwa na makada wa CCM ambao hawakushirikisha wananchi ni aibu kwa taifa kama hili na haifai
Watanganyika wanataka katiba ambayo kwanza itatambua taifa lao. Alafu katiba ambayo itawapa mamlaka...
Kwa maelezo ya Djumbe na rafiki yake, jumlisha na alichokisema Golugwa, ni kuwa kuna list ya watu wapo kwenyw Blackbook, wanafuatiliwa mm9ja baada ya mwingine, anayeagiza hayo ni mtu mmoja (ambaye naye atakuwa anachukua maelekezo toka kwa Boss kubwa sasa), na kuyafikisha kwa Mafwele, kisha...
Katika mwendelezo wa hotuba yake akiwa Iringa leo, Mei 23, 2026, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba amezungumzia kuhusu wimbi la taarifa za utekaji zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, akizitaja kuwa ni “michezo na ajenda maalum” zilizoratibiwa na watu wenye akili wanaolenga kuivuruga na kuichafua...
Katiba ya sasa haifai maana ilitungwa na WanaCCM 22 na haiwapi wananchi madaraka juu ya taifa lao baada ya uchaguzi.
Taifa letu linatakiwq liwe na katiba ambayo itawapa mamlaka wananchi kumfuta kazi rais mara baada ya kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Tuwe na katiba ambayo baada ya rais...
Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe.
Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu...
Tume ya kuchunguza mauaji ya Kibao iko wapi? Uchunguzi kuhusu utekaji na mauaji umefikia wapi?
Siku zinakwenda miezi inakata, hakuna taarifa ya nani Kamteka na kamuua Kibao licha ya kuahidiwa tume ya kuchunguza tukio lile, ina maana tume huwa hazina kikomo cha kwamba baada ya muda fulani kupita...
Hamjambo wote!
1. Kitabu chenye machozi ya damu, vivuli vya mizimu inayolia kuzimu kwa kukatishwa maisha. Sauti za watoto yatima na vilio vya kinamama wajane. Kurasa zilizobeba maumivu yasiyopimika. Je kitabu hicho kimewekwa pembeni?
2. Na sasa tunafungua upya kitabu kipya chenye faraja...
Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na nikushauri JESHI LA POLISI LIKAMATE WATU KWA UTARATIBU NA MAFWELE ADHIBITIWE kwakua anavuruga Security...
Napenda kueleza hisia zangu kuhusu haya yanayoendelea nchini Tanzania, kiasi cha kuundwa rasmi team mbili kuu.
Yalianza rasmi enzi za Magufuli, kutekwa risasi, kufungwa kufilisiwa nk.
Huenda ni kweli hakuna serikali yoyote duniani isiyojitetea na kujilinda kutumia vyombo vya ulinzi(dola)...
Kwa sasa mtu anayejiona kuwa utawala huu ni sukari kwakwe ni wazi kukuchoma ili kuokoa uhai wake na familia yake.
Polisi,wenyekiti wa CCM,wabunge wa cmm,madiwani wa ccm,usalama TISS,wanajeshi wa CCM na n.k ambao ni ccm sukari ya CCM kuweni nao makini.
Naeleza ili naona magari ya vioo vyeusi...
Pichani ni EXAUD GASPERY MROSO. Ni mhitimu wa LLB Chuo Kikuu Mzumbe.
Ameripotiwa kuchukuliwa na watu wasiofahamika akiwa eneo la chuo hicho katika eneo la BOHARI (KINGALU).
Alienda Chuoni hapo kwa ajili ya kuhudhuria mahafari ya kuhitimu elimu ya Chuo kikuu yanayofanyika chuoni happ siku ya...
Majina kamili: Furaha Kibaba Michael (MD)
Ajira:Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Geita.
Kwasasa alikuwa anafanya kazi ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa Geita(RMO) kama Mratibu wa
Malaria (Regional Malaria Coordinator) .
Kutekwa kwake.
Jana 17/11/2025 majira ya jioni (saa kumi) alikuwa Geita mjini katika...
Anaandika Robert Heriel
Mtibeli.
1. Kuna haki za aina nyingi
2. Haki za kijamii, haki za kiuchumi, haki za kiutamaduni, haki za kisiasa, n.k.
3. Haki za kijamii ni pamoja na watu kupata haki za kupata elimu, huduma za afya, haki ya kwenda popote, haki ya kushiriki kwenye shughuli za kijamii...
Wakuu,
Japo wamepatikana wawili watatu ambao wanasimama na wananchi na kukemea ukatili uliofanywa.
Nimefarijika sana kuona video hii
---------------------
Mkurugenzi Mkuu wa Al- Hikma na Mwenyekiti wa Mashindano ya Qur’aan Tukufu Ulimwenguni, Sheikh Nurdin Kishk akiwa anazungumza hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.