ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
kama kweli unampenda utamjali!anakupenda sana anataka kuboresha mawasiliano kati yenu!ndio mapenzi! Kama kweli unampenda mnunulie.
Duh. Mkuu pole..mimi ilinitokea baada ya gemu next day kaniambia amepoteza ATM card yake na anahitaji kufanya mananuzi ili asafiri next the following day..since it was weekend there was no way angeweza kuichukua card yake..ikabidi niumize kichwa kuokoa jahazi lakini nilishajua ni uwongo ila mwanaume ikabidi niwe mpole..Wadada mara nyingine muwe na huruma kwa kaka zenu..
Huo ndio mwanzo! Tena kakuhurumia kukuomba simu! Mbona huyo dada ni mstaarabu sana??
ha ha ha ha ngoja Young Master mwenyewe aje athibitisheKweli, naskia Young Master alikukimbia kutokana na mizinga, ya kweli!???
Wenzio tunapotongoza tu tunaambiwa 'sina simu hii ni ya dada'
ukitaka mawasiliano ninunulie na tunanunua..
wewe umeambiwa after kupewa tunda na unaona unachunwa?
akinunuliwa na mwingine utalalamika kutuma vocha ????
sasa wee unadhani K yatolewa bure...lazima uilipie kwa namna moja au nyingine.
Aliomba after? wengine wanaomba before. Imekula kwake!