kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 151
mnunulie Vodaphone ya 12,000/= kama inakuuma sana iphone na BB
Nimekupata mzee. Una vijimessage unadai ati huamini kijani, sitokutolea damu ukikaukiwa maana mwenyewe hutaki kula mboga za majani.
mnunulie Vodaphone ya 12,000/= kama inakuuma sana iphone na BB
sasa wee unadhani K yatolewa bure...lazima uilipie kwa namna moja au nyingine.
Nyapu sio? lol
Wenzio tunapotongoza tu tunaambiwa 'sina simu hii ni ya dada'
ukitaka mawasiliano ninunulie na tunanunua..
wewe umeambiwa after kupewa tunda na unaona unachunwa?
akinunuliwa na mwingine utalalamika kutuma vocha ????
And in this case they have to keep other things wide open too
mama angu huniambia kila siku, mwanagu tafuta pesa kwanza sasa ivi achana na wanawake, ukizipata watakuja tu wenyewe tena wa kila aina, uwa simuelewi, ila sasa nagundua pesa ndo kila kitu especially when comes to women
Wanaume wa siku hizi full usanii, ahadi za kuoa, akikukula tu humuoni, bora tuchune tu ata akipotea anakuwa amelipia mzigo