Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Nguzo kuu ni Mapenzi ya Kweli. Pesa ni ya mwisho kabisa. Trust Me. Na pesa hailindi Penzi hata sikumoja. Kama MTU Anakupenda Kweli.. Hatajali Pesa atakupenda jinsi Ulivyo aidha unakitu au Huna kitu. Wanaume wengi tumejijenga kifikra kwamba wanawake wanapenda Pesa. Lkn hatutambui kuwa ni sisi tumewazoesha pesa. Mpenzi wako atakua jinsi Utakavyo Muongoza awe coz wewe ni kiongozi katika Mahusiano yako. True Love is More than Money Men Trust Me. Hajakuomba hela we Unamzoesha hela.. Ts Obvious ukimzoesha pesa atakuampenda pesa. Mbaya zaidi atakuwa Mvivu wa kufikiri namna na njia halali za kupata pesa. Siku usipokuepo nini kitaokea kama umeshamlemaza?

Wise Person,,, umesema kihisia sana, but kihalisia wanawake these days ndio wanatanguliza pesa mbele....bila kujali what next,,, na wengi wamekata tamaa sababu wao mwanaume ni pesa,,, yuko radhi akukimbie bila kujua wewe ulikuwa na dhamira gani kwake........ wanasahau mapenzi ni hisia,,, na lazima zivutwe taratibuuu....lkn we leo mmekutana kesho kodi ya nyumba ebooo....na sio kwamba hana anakutest.....na wengine watakupa,,, wakikung'uta wanasepa then wanajidai nimeumizwa....nenda hospital.......
 
Wise Person,,, umesema kihisia sana, but kihalisia wanawake these days ndio wanatanguliza pesa mbele....bila kujali what next,,, na wengi wamekata tamaa sababu wao mwanaume ni pesa,,, yuko radhi akukimbie bila kujua wewe ulikuwa na dhamira gani kwake........ wanasahau mapenzi ni hisia,,, na lazima zivutwe taratibuuu....lkn we leo mmekutana kesho kodi ya nyumba ebooo....na sio kwamba hana anakutest.....na wengine watakupa,,, wakikung'uta wanasepa then wanajidai nimeumizwa....nenda hospital.......

Ndio Mkuu.. Umesema kweli Kabisa.. Sipingi ulichosema..Lakn ngoja niseme kitu:Mapenzi ya Kweli yapo na ndio nguzo kuu katika Mahusiano lakini kwa watu wachache. Hasa wanaoelewa Maana Halisi ya LOVE. Wengi hawaelewi hvyo wanajikuta wamezama katika kundi la kupenda Pesa na Kuthamini Pesa kuliko LOVE.. Kwakua kundi hili la watu wapenda pesa ni Kubwa pia lina nguvu Kubwa ya Ushawishi hvyo linageuza taswira nzima ya Mapenzi ya dhati na kuleta Msimamo huu (pesa ndo kila kitu). Kum'badilisha MTU anaeamini hvi ni Lazma kumkomboa KIFIKRA. Ushauri: ukiwa na Mpenzi wako pesa iwe ya Mwisho.. Kama ni Pesa..Kaanae chini Fikirieni na kupanga Mbinu Halali za Kupata Fedha. Shirikishaneni Maelezo. Ikiwezekana anzeni na kabiashara flan mlichoafikiana.Hii itamfanya Asiwe kilaza na Awe mtafutaji. Kama ni pesa kumpa isiwe lazima uwe unampa Ukijiskia. Mtafika Pazuri.
 
dah post za hivi ziko nying sana humu JF sijui kwanini zinarudiwa rudiwa hivi
 
nguzo kuu ni mapenzi (ufundi), wewe ukiwa na pesa zako ila kazi huwezi atatafutwa kishoka wa kufanya operation.
 
Embu tusaidiane mawazo kwa hili wana jamvi, hivi kati ya mapenzi ya kweli na pesa ni ipi nguzo kuu katika mapenzi ya siku hizi.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Tafuta pesa tu aisee
Mapenzi yatakuja yenyewe bila kupanda
 
Back
Top Bottom