tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,055
- 16,509
Ebana watu wangu wa nguvu,
Leo nimekuja kutaka ushauri,
Kuna msichana long time sana namfukuzia,huyu sio kwamba ni mzuri kivile.Sasa basi katika mitongozo yangu yote amekua akinikataa na kunipa maneno ya kejeli kama vile eti me sio type yake etc,well me siku zote nimekua nikijifanya kama mtu nisiejali dharau zake kwangu coz nataka nitimize lengo langu la kufanya nae mapenzi basi.
Maana ndio kamaliza chuo mwaka huu alikua ananiringishia eti sijui ana njemba yake inapiga mzigo pale ubalozi wa USA hapa Bongo kwa hyo mimi na hivi vijisenti vyangu vya kudunduliza siwezi kuwa na mtu kama yeye,ikumbukwe pia alishawahi kunitamkia eti mimi ndiye najipendekeza kumtafuta but ye hana time na mimi kivile{ingawa ilikua kweli ila iliniuma}
kinachonishangaza sasa,siku za hivi karibuni ameanzisha ukaribu na mimi ambao hadi nautilia mashaka.
Ananipgia simu mara 3 daily kama dozi ya panado,mara aniulize umekula nin leo,umevaa nin leo,unatoka job saa ngapi,mara nimemiss saut yako na blah blah zingine siku hizi hata kama anatoka kwenda Kariakoo atanipigia kuniaga.
Ingawa me bado cjamkumbushia lolote kuhusu ombi langu,ila naona kama kuna dalili za yeye mwenyewe kujilengesha kwangu.
Kinachonitisha ni jana usiku tukawa tunaongea kwenye phone huku tunataniana kidogo but baadae akaniambia kuwa simu yake imeharibika na anahtaji kununua simu nyingne ila hana pesa kwa sasa,mimi nikawa nishausoma mchezo wa kupigwa mzinga,fasta nkamuuliza kama yule jamaa yake wa ubalozini anajua kuwa simu yake mbovu.
Akanambia hajamwambia,mimi nikamtania nikamwambia mwambie umsikie atasemaje,yeye akajibu akasema kuwa mpaka ameamua kuniambia mimi ni kwamba hataki eti huyo jamaa yake ajue,me nkawa namkwepa na hilo ombi lake lakini kaning'ang'ania mbaya wakuu.
Sasa naomba ushauri wenu wanaume wenzangu,huyu mtoto pesa zangu anazitaka ila inaonyesha mapenzi na mimi hana na anataka kunitumia tu.
Nifanyaje?