Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
pesa ndo kila kitu.
pesa sio kila kitu,pesa haipigi busu
pesa ndo kila kitu.
so hizo gharama unataka mwanaume akugharamikie au wanaume wakughramikie????
hahhaha kazi anayo, ka mkia.... ye naye alikua wap utotoni kuja kuzeekea kwa kabinti kabichi hivyo
Ahhha hebu uko ntakusemea
Sasa wewe ulitegemea upige bure, wapendezeshe wengine, vitu wanunue wengine we ule rahaaa tuu??
Shukurani
mnalalamika nini? c na nyie mtafute pesa kwani wenye nazo wana macho saba? mnadai tunapenda vya rahisi mbona nyie mnapenda rahisi kuwa na mwanamle wakat huwezi kumhudumia!??
Kwa asilimia kubwa wanaume wamesababisha pesa kuwa mbele kulko mapenzi ya dhati so msilaum
Wambiiiiiiiieeeeee.....watajibeba babu eee
Ntafanya mawasiliano inshallah kama naruhusiwa..!!
Ha ha ha uwiii mimi nimeshajivua gamba nitakuwa mtawa tu.
mnalalamika nini? c na nyie mtafute pesa kwani wenye nazo wana macho saba? mnadai tunapenda vya rahisi mbona nyie mnapenda rahisi kuwa na mwanamle wakat huwezi kumhudumia!??
Nafurahi ktk maisha yangu sijawahi kupata mwanamke wa bure bila kuhonga (including my wife wangu wa ndoa, mpaka leo ananichuna kwa sana tu, afadhali hata kabla hatujaoana), kwa karne hii ukipata wa bure, eti amekupenda tu ujue huyo ni mchawi au jini. Anaweza kukupenda kutokana na good looks lakini hiyo ni for public display/showbiz, nyuma ya pazia kila mwenye feza anweza kumla bila matatizo.