Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Unaweza kuwa fiti kwenye 6x6, Unaweza kuwa na pesa, Unaweza kuwa mcheshi, Unaweza kuwa karibu sana na mwenzio kila akikuhitaji ana kupata nk. nk. lakini yakakushinda.. Kwangu siraha ni kusoma mazingira na kuact kutokana na mazingira yaliyopo
 
Mahusiano mazuri na Mungu pia ni silaha sio tu kwa mwanaume ila wote. Tukumbuke pia upendo alionao Mungu ndio upendo huo huo unatawala mahusiano baina yenu.
 
mapenzi hayahitaji silaha...
loving is giving.....
 
binadamu hatosheki...
sometimes ni kupeana space tu inatosha....
 
Silaha kubwa ni kubobea ktk kuchakachua!Ukiweza kumsoma mwenza wako vema na ukawa unampa mkwaju vizuri hadi anafika pale juu ya kilima bila bughudha utamaliza kila kitu!!hiyo silaha itakulinda sana.Silaha za ziada ni uongo,heshima,pesa na kujali.Nawasilisha


Uongo upi mzee? unadanganya nini? uwezi kudanganya kila mara,,,,,
 
Ndizo zinazoweza kuwa silaha kuu za mwanaume..................?? Mbona nyingi hivyo....................

Kwahiyo huwezi kumpenda mtu..ukamsikiliza..ukamheshimu..ukamjali..ukamvumilia..ukamkubali..ukawa mwelewa n.k?Basi chagua kimoja!
 
siraha kubwa kabisa ni UONGO Maana kila jambo unalofanya ukilipamba na ka uongo kidogo mambo bam mbam.mf unalazimika kuvaa uhalisia wa jambo hata kama nigumu kiasi gani kwako.mfano wife/mpenzi anataka mwanaume mcheshi so inabidi umdamganye kwa kuvaa sura ya ucheshi kwa muda.

slave hongera ndugu hapo UMEMALIZA mjadala wote, silaha ya muhimu kuliko zote ni UONGO, hizo silaha zingine zinajikongoja tu!!!! i like that.... hehehehe heeeee:smile-big:
 
slave hongera ndugu hapo UMEMALIZA mjadala wote, silaha ya muhimu kuliko zote ni UONGO, hizo silaha zingine zinajikongoja tu!!!! i like that.... hehehehe heeeee:smile-big:




Dada zangu mnawasoma hawa walimwengu lakini??
 
Uongo in a sense of JOKES

Ndo inamaanisha hivyo, yani unanitania tania, halafu hiyo inakuwa ndo silaha kuu.
Sio ule uwongo unanidanganya tutaenda kuishi Marekani, kumbe hata huna huo ujanja.
Na mimi naona ndoto zangu za kuishi USA zimetimia, mwisho wa siku naishia kuishi,
Mbagala Kizuiani?
 
Back
Top Bottom