Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Ndo inamaanisha hivyo, yani unanitania tania, halafu hiyo inakuwa ndo silaha kuu.
Sio ule uwongo unanidanganya tutaenda kuishi Marekani, kumbe hata huna huo ujanja.
Na mimi naona ndoto zangu za kuishi USA zimetimia, mwisho wa siku naishia kuishi,
Mbagala Kizuiani?
Sasa na wewe hadi unafikia hatua ya kuambiwa kwenda kuishi kwa Obama ina maana hauoni dalili za huo uongo, kuna uongo nitakwambia for the sake ya kukufanya utabasamu na kukuchekesha kidogo and you will definitely know i am joking
 
Ndo inamaanisha hivyo, yani unanitania tania, halafu hiyo inakuwa ndo silaha kuu.
Sio ule uwongo unanidanganya tutaenda kuishi Marekani, kumbe hata huna huo ujanja.
Na mimi naona ndoto zangu za kuishi USA zimetimia, mwisho wa siku naishia kuishi,
Mbagala Kizuiani?




Bora mimi niliyekuambia toka mwanzo kuwa kwetu ni Mbagaraaaaaaaaaa....
 
Komred usisahau kuwa umeposa humuhumu sasa kama atasoma na kujua kuwa anadanganywa sijui itakuwaje??
Mkuu unajua uongo mwingine unaambatana na jokes ili walau umchekeshe mwenzako na ndio maana nasema unamdanganya mtu lakini its a kind of a joke kumfanya acheke obviously utakachomwambia lazima akikaa akasikiliza atajua kwamba you are joking that's what i am talkin about sio ule uongo kama wa kujenga flyovers au kugeuza kigoma kuwa Dubai
 
ALAH!!!Kumbe ehhh???
''Fynest mi nakupenda sana ujue...ni wewe tu haki ya nani nakwambia!!!''
Embu niambie kama simaanishi hayo utani wake uko wapi???
Even God knows that you love me because he created ME and YOU:lol::lol:
 
Sasa na wewe hadi unafikia hatua ya kuambiwa kwenda kuishi kwa Obama ina maana hauoni dalili za huo uongo, kuna uongo nitakwambia for the sake ya kukufanya utabasamu na kukuchekesha kidogo and you will definitely know i am joking

Ha ha ha ha ha
Sasa TF huoni kuna tofauti ya uongo na utani??
Au ni ile unaulizwa uko wapi unajibu niko hapa JJ wakati uko Temeke lol.
Kuepusha kuulizwa zaidi.

Hivi naniliu anaona hapa.
 
Ha ha ha ha ha
Sasa TF huoni kuna tofauti ya uongo na utani??
Au ni ile unaulizwa uko wapi unajibu niko hapa JJ wakati uko Temeke lol.
Kuepusha kuulizwa zaidi.

Hivi naniliu anaona hapa.
:lol::lol::lol::lol:
 
Bora mimi niliyekuambia toka mwanzo kuwa kwetu ni Mbagaraaaaaaaaaa....

Kweli kabisa, na mimi nikaamua kukupenda hivo hivo,
Sie tutaishi tu. Sa ungenidandanya unaishi MASAKI afu uje unipeleke huko kweli.........
Wa kule wengi huwa wanatoswa.


 
Last edited by a moderator:
Na wanavyoongea wenyewe wanaona sifa kweli!!!

Ni wewe tu baby,
Usiniache, ukanitia aibu, mi ndo nilishaamua,
Nimechoka, kuhangaika sasa, nataka kutulia.

Tuombe tu, mambo yakae sawa......
Uwiiiiii kabinti unaona hapa umefika.
Mmmmmmh Subiri.
Yakishatimia malengo........
Usinifate fate.................
Usinijue................
Utapiga simu itaita mpaka sikio litauma..............
Dah......................
 
Even God knows that you love me because he created ME and YOU:lol::lol:

Heheheheheh:focus:
Sema utani hapo uko wapi!!!
Kuna ule unaoitwa uongo mweupe ambao unautumia kumpotezea mtu....kama kumdanganya mtu haupo nyumbani kwasababu hutaki kumwambia directly kwamba hutaki aje....ila UWONGO wanaoongelea wenzio hapa ni ule wakumwambia mtu unampenda wakati sio...amependeza wakati anaonekana kituko and so so....
 
:lol:
Kweli kabisa, na mimi nikaamua kukupenda hivo hivo,
Sie tutaishi tu. Sa ungenidandanya unaishi MASAKI afu uje unipeleke huko kweli.........
Wa kule wengi huwa wanatoswa.


[/QUOT




Lazima watoswe ati kwani hawana ustaarabu,we siku moja simama tu pale mwenge mida ya jioni kisha utizame daladala ya Mbagala ikija ndio utawajua,maana hata kama wapo watano tu lazima waingilie madirishani badala ya mlangoni..:lol::lol::lol:
 
Last edited by a moderator:
Heheheheheh:focus:
Sema utani hapo uko wapi!!!
Kuna ule unaoitwa uongo mweupe ambao unautumia kumpotezea mtu....kama kumdanganya mtu haupo nyumbani kwasababu hutaki kumwambia directly kwamba hutaki aje....ila UWONGO wanaoongelea wenzio hapa ni ule wakumwambia mtu unampenda wakati sio...amependeza wakati anaonekana kituko and so so....




Ina maana hapo huuoni utani?? Na anapokuambia kuwa Mungu kawaumba nyie wawili tu na sie kina Paka Mweusi ina maana tutakuwa tumeenda wapi?Masihala hayo...............
 
Ni wewe tu baby,
Usiniache, ukanitia aibu, mi ndo nilishaamua,
Nimechoka, kuhangaika sasa, nataka kutulia.

Tuombe tu, mambo yakae sawa......
Uwiiiiii kabinti unaona hapa umefika.
Mmmmmmh Subiri.
Yakishatimia malengo........
Usinifate fate.................
Usinijue................
Utapiga simu itaita mpaka sikio litauma..............
Dah......................

Yaaaani!!!
Alafu eti Fynest anasema ni utani.....sijui nimcharaze kidogo :smash:
 
Heheheheheh:focus:
Sema utani hapo uko wapi!!!
Kuna ule unaoitwa uongo mweupe ambao unautumia kumpotezea mtu....kama kumdanganya mtu haupo nyumbani kwasababu hutaki kumwambia directly kwamba hutaki aje....ila UWONGO wanaoongelea wenzio hapa ni ule wakumwambia mtu unampenda wakati sio...amependeza wakati anaonekana kituko and so so....
Kama ndio uongo huo hata mimi i am against it
 
Back
Top Bottom