BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,775
- 6,249
kama huna pesa tuachie tu
wewe unazo sana eee, mengi,bill gate,bahresa rostam na wengineo wenye fedha wasemeje?
kama huna pesa tuachie tu
.ati?.its more confatable to cry in a marcedes than a bicycle
Koh! Koh! Koh! Koh!
kama maneno haya yanatoka moyoni kwako na umeyatoa kwa dhati kabisa ya moyo wako,bila ya kushawishiwa na mtu na wala sio kutafuta umaarufu hapa mmu,basi wewe ni mwanamke hatari sana.
Yaani wewe mwanamke weka mbali na wanaume kabisa.
Hahahaa tatizo hamtaki kuambiwa ukweli lkn huo ndo uhalisia wa karne ya sasa.Na ndo maana hata wewe ukaleta huu uzi ndo mjipange msiokuwa na hela.Na msipojipanga tutawapanga.
Miili yetu imechafuka, roho zimechafuka sana na nafsi zetu ni uwanja WA mipasuko karne hii ya 21!!!
KAMA TUCPO RUDI KWNYE HOFU NA MUNGU, basi mwisho WA ubaya wetu ni ADHABU TUU!!
Pesa haikuwahi kuwapo kabla ya mapenzi!!
LUV with fear of the Lord will even nourish existence of Money in luv, but never Money without fear of Lord will last long with Luv
Namwomba Evelyn Salt aje ajibu.
"money and love are two sides of the same coin"
pesa ndo kila kitu.
mmmmh!!!
Upoooo
asee nipo... naona wikend imekuficha!!!
Kanificha mchuchu
hahhha na kakuficha kweli!!! sa kesho kibaruani panaendeka kweli...
Siku za kibaruani hua ananipeleka ikifika mida ya kuryd ukitoka tu unamkuta anansubiria panaendeka ndio