Ukiona manyoya.... ??
EVERYBODY FOR THEMSELVES GOD FOR US ALL! Wchumi wanakwambia MORE IS PREFERRED TO LESS! The theory of INVISIBLE handIyo kitu ni the same hata kwa nyie wanaume
Wanawake wemekuwa waajabu sana mwanaume huna pesa anakusaliti ila pata hela utaona anarudi kwako.jamani waugwana huu ni huniugwana kweli???
Wanawake wemekuwa waajabu sana mwanaume huna pesa anakusaliti ila pata hela utaona anarudi kwako.jamani waugwana huu ni huniugwana kweli???
Iyo kitu ni the same hata kwa nyie wanaume
kata pochi upate penzi
Ili uyafurahie mapenzi lazima ukubali kuwa pesa ina nafasi yake kwa sababu mapenzi ni sehemu ya maisha ya kila siku,vile vile pesa haitakiwi kuwa sababu ya kuwepo kwa penzi lenyewe.
Pia tofautisha mtu kutokuwa na pesa na mtu kuwa na mkono wa birika/Mchoyo/bahili
Wanawake wemekuwa waajabu sana mwanaume huna pesa anakusaliti ila pata hela utaona anarudi kwako.jamani waugwana huu ni huniugwana kweli???
Ukiona manyoya.... ??